๐คI forgot the spelling of "Pilot" during an exam. So I wrote "Taxi drivers of an Aeroplane ๐นโ๏ธ๐๐ซต
๐ฅ๐ฎ๐๐๐ฏ๐ผ๐ ๐ผ๐ณ๐ณ๐ถ๐ฐ๐ถ๐ฎ๐น
Razzboyofficial.com//๓ฑข
Musician
โข||โข500๐ค ๐๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ๐๐ซ๐ฌโ
https://youtube.com/@razzboyofficial3508
l ๊ฐ โ ๐๐โข||โข Humble bt silent mover๐ฏ
๐คTANGU NIMALIZE SHULE CJAWAI ONA RHOMBUS NA PARALLELOGRAM๐๐คฃ๐๐ซต
11/06/2026
Imagine ๐ซ Jana nikitoka Town job nikasema wacha nibebwe na Nissan instead ya bus ๐, Sasa vile gari ilianza kumove kuna huyu mama alikuwa amekaa hapo mbele akaanza kupea Dere story ๐ vile mama fulani alipatwa na bwanake kwa nyumba wakiwa na jamaa kufulani ...kufika hapa kwa jamaa gari ikafika kwa stage ya kwetu ๐ makanga akaniuliza madam si umefika ๐ . nikamjibu "wacha nishukie stage next nikamuongezea chwani yenye nilikuwa nayo ...si mnajua uchungu ya kuwachia story nusu ๐ข. So gari ikaanza kumove sasa yule mama nikangoja aendelelee bahati mbaya simu yake ikapigwa ๐ฑ akaanza kuongea aliongea akaongea mpaka nikafika next stage ๐ข ๐ makosa sana ๐ญ ๐ญ hivyo ndivyo nilishuka nikarudi mguu juu sikuwa na pesa ingine ya kuboard matatu ๐ข ๐ ....next time ttukiingia gari moja uanze story make sure umeimalizia ๐....
#๐๐๐๐๐
๐คshida sio kugongewa ,shida ni ujue unagongewa Hadi mwenye anakugongea ๐๐๐ค๐๐ซต
๐คsafaricom wanapea hadi bubu offers za tubonge๐๐๐ซต
๐คNa nikikuambia take care namanisha us*d*nyw* msichana, ๐๐คช๐๐ซต
๐คSasa tunapigana na unanipiga kofi ya uso,ntakuona aje?๐ณ๐คฃ๐คฃ๐ณ๐๐ซต
๐คKuambia wengine wamove on ni rahisi ngoja sasa time yako ๐๐๐คฃ๐ซต
10/06/2026
Phone rings.
Dem: hello beibeee where are you?
Boy: Niko hotelini nakula lunch,I will be there after 30mins.
Dem: sawa but make sure unaniletea lunch okey?
Boy: sawa ungependa nikuletee Nini mpenzi?
Dem: chipoo na ikue na tomato,smokii, ugali kiazi na sukuma,kuku,pilau muchele, nyama fry,soda, chapati moja, avocado moja,maji ya Dasani chupa ya 2ltrs,kama Kuna samaki unibuyie kiazi tu si unajua vyenye napenda!,I love you so much darling.
Boy: umesahau meza,viti,vijiko,sahani,vikombe,mwiko,na sufuria.
Dem: mbona beb?
Boy: because mi naona we hutaki kula,unataka kufungua hotel.๐๐๐๐
#๐๐๐๐๐
Penda usipende dem wako ako inbox ya MTU na ako single and searching ๐ค๐คฃ๐๐ซต๐ค
Click here to claim your Sponsored Listing.