12/05/2026
Jamaa za Prado na high beam usiku namna gani? Ata ukiwaflash wadim hakuna response
Makanika Alex Mwanzo is selling his Diesel CX5. It comes with 163k km on the odometer and a 4 month DRIVE TRAIN warranty. Mambo ikienda mbaya within that period anakusort namna msuri.
The downside is that ikona rivets mob na mirrors don't autofold. Lakini hiyo sio issue kubwa.
City driving inakupea 14 km/L na highway ni 19km/l subject to change depending with the weight of your shoe.
Bei in 1.25M na unaeza ongea kidogo ikutoke. Test drive ni wewe utaweka mafuta after showing proof of funds.
Twanga rununu ndio mambo ikue NJEMA.
12/05/2026
Nikiwa kipii around 3 months niliwachwa na my Anko Mùniù ndio mathe anunue vitu mbili tatu pale Koch.
Sasa my Anko ju hajui hii mambo aliamua kununulia mimi ice cream buana. Mangai nakwambia sijawai onja kitu tamu namna ile. Mpaka nilitoa boshori kwa kichwa ndio niskie msuri saidi.
Mathe kurudi jioni anapata nalia buana. Nalia kwa sababu ile ice cream ilikua tamu, ni vile tu siwezi ongea. Anajaribu kunipea nyonyo nashindwa hii ni dufia gani napatiwa, nilikua naskia inaonja mwarubaini buana.
For the next 5 years, anything to do with shuga was banned in that house, pale tulikua tunakaa k**a Amerix. Ata nimekuja kulamba ice cream jus jus kwa supermarket alafu nikarudisha kwa friza.
Elimon paraguii
11/05/2026
Ndio hii hapa kanyoni ingine veri veri cheap. Hii ata unaeza jinyima mwaka moja alafu uinunue.
Jina ni 1956 Piper PA-22-150 Tri-Pacer. Hii ndege haipendi uvivu na kiherehere. Ukicombine hizo mbili kanaweza kupeleka sayun direct bila kubisha hodi.
Pale ndani utapata engine ya Lycoming O-320 pushing 160 horses k**a Rav 4. Cruising speed ni 216 kph but Top speed ni 227 kph. Fuel tank capacity ni 140L na inakupeleka 800km. Hapa ni kwenda from Nrb to Msa. Service ceiling ni 16,500 ft, ukioita hapo utajua kwanini Eve aliuma Apple na sio Ndimu.
Pale ndani mnakaa watu wanne but three ndio comfortable.Panel nayo iko modernized with a PS Engineering PAR-200 audio panel and a TY-91 Comm. This is to make sure ukisema "Bravo, Charlie" haiendi kwa jamaa ako kwa shamba anachunga mbuzi, inaenda direct kwa wasee wa radar.
Bei nayo ni msuri sana, unaipata na $49,900. Hii ata ukipigwa duty ya 100% bado utaipata na less than 15M.
K**a hujui kuendesha usishtuke, unaeza twangia khalif Kairo simu akupeleke shughuli zako na akurudishe. Bora ulipe, sio bure k**a maziwa ya Nyayo.
Na ujue hii haina parachute k**a Cirrus. Hapa unaruka na bedsheet unaanguka na huko Mau Forest k**a mvua.
11/05/2026
Ukipatana na hii madòà dòà mūràrù utanyamba "diuuuuuuuuu" ju ya uwoga. Utashtuka mpaka roho isimame.
Hizi nyoka kuziona ni ngumu sana, ata ukiiona ni view once k**a sayun. Their survival rate is veri veri low. The two heads zinapigananga mbaya saidi for food which goes to the same stomach.
Ukienda kule yues ama eshia utazipata kwa wingi sana. Ukiwa pale Nyasiongo alafu uote na hii nyoka jua kuna mtu amekukanyagia jivu mahali. Hizi hapana mcheso.
Na zinaendanga mbio k**a GTI, hapa ata zile majini za Mombasa huvaa kitenge haziwezi kusaidia, pia hizo zinatoroka buana.
Hapana chesa
11/05/2026
Hapa Dunia inasimamanga "NDII" unaanza kujiuliza "Na si ningepita tu expressway" Saa hiyo mate imejaa kwa mdomo mpaka inaanza kumwagika k**a pale Chania falls.
Unatoka nje kuangalia unapata mambo iko mbaya saidi. Unajaribu kufunga macho uimagine ni dream lakini unaona Shumileta akiwa amevaa kinyasa buana.
Na ata unapata ndio ilikua mwezi ya kwanza na gari, bado inanuka Kuma moto kule Japani. Ni kiùndù painful.
Mimi tangu ninyoas Grasshopper nikiwa route 11 nakuanga careful sana na kukeep distance ya 250 metres.
Stay guided.
11/05/2026
Toyota OEM parts are exceptionally expensive. Kwanza the new generation cars..woi.
Side mirror unauziwa 40K. Headlights unaambiwa 200k. Grille kitu unaeza enda bila unaitishwa 110k. Yaani unaambiwa bei mpaka huamnini. And the funny thing is that the prices keep going up in the next shop you visit.
Hapa car owners itabidi muingie alibaba ama mnashikana kwa zile clubs zenyu k**a Audi, Atenza etc mnaleta parts.
They will nefa tich you this in Kavirondo politeknik
11/05/2026
Shida ya Kisaju kubwa ni vumbi na maji. Unatokanga kwa nyumba na nguo ya white namna hii ukifika stage unapata imekua brown .
Mpaka ukitembea ingokho zinakwambia "tembea msuri usitutupie vumbi, otek wada"
Lojin pia unaingia hakuna maji, inabidi ununue dasani ya 500 ndio uoge buana.
Tukue sirias kidogo jameni
10/05/2026
To all the Mothers out here, we appreciate you.
Happy Mothers Day
10/05/2026
Hii Suspension System ikiharibika unapark gari alafu pesa ilikua ufanye repair unachukua nusu unanunua Fielder kwanza utembee nayo.
Kwanza upate ni ile independent suspension inatumika kwa Trophy Trucks, woi hapa ni machos tu. Hapa set mzima ni 6.4M before tax. KRA wakiingia namna hii figures zinaanza kuchezea kwa decade.
Nawe ukiweka hizi utakua unashangaa "kwani KENHA wanatengeneza barabara mzuri aje" kumbe ni suspension ndio top quality. Hapa mpaka unapiga juice yako ukiwa 150 kph pale rough road.
Hapana chesa.
10/05/2026
Nimepiga risach ingine muecheche na nikaona hawa vijana wakona pesa. Ata k**a ni car hire, you'll still need money and lots of it.
Kuhire GLE is around 15 to 20 sausand per day. The Audi TT and BMW will be from 10k going up. Now, hizi gari need fuel na zinapepeta mafuta namna hatari. Kwanza ukue unatwanga V-power unaeza hadhirika vibaya saidi.
So, to hire these 3 cars in a day, you'll need not less than 70k buana. In one week you're looking at half a million. Hapa lazma ukue loaded to pull such stunts. Kazi ya end month kwa muhindi haiwezi fanya hivi.
My risach concludes that the young bois are loaded ta ngòmà. Whether they own the cars or hire is NOT a problem. PESA nayo wako nayo. It's just that they have a different way of expressing their emotions. Na usijaribu kusema "RICH people don't shout" ni vile tu hauendi places wako.
Vijana tutafute hii pesa jameni. Mimi kwanza illuminati wakiachilia ile pesa yangu mtanitambua.
10/05/2026
Leo weekend ukienda kwa your favourite cafe uskie wanatwanga kamziki ya low tone toka mbio namna hatari.
Ile nduvya ya 50 bob itakua 750 mangai. Kuna siku nimeenda kupatana na kastamaa pale Ngong rd karibu na King'ara close. Nikaamua niitishe kahawa na Mandas ndio bill ikuje kindù wan sixte fae.
Kumaliza biashara na kastamaa naona bill inakuja 850 nashangaa namna gani. Kwa sababu hutaki kastamaa yako aone ndramaaa unaamua kukanyagia chini. After fae minits unarudi umewaka k**a thegere buana. Hapo ndio unaambiwa mambo ya sijui live orchestral band.
Sai niingie niskie wanaimba ni kupiga about turn k**a askari ya forest na kurudi guu mosi guu pili mpaka kwa mama ntilie
Usiposkia la mkuu utavunjika guu, chesaa