Welfare j wendo

Welfare j wendo

Share

My official page

11/11/2024

🚨 π—’π—™π—™π—œπ—–π—œπ—”π—Ÿ: Ruben Amorim has ARRIVED at Manchester United. πŸ‡΅πŸ‡ΉπŸ”΄

10/11/2024

Uyu mwamba ni kocha πŸ’―

01/11/2024

Tayari mwamba katuwa OTπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ™πŸ’―

30/10/2024

HT 4 -2πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ‘Œ

29/10/2024

Unakumbuka nini kutoka kwa EDWIN VAN DER SAR πŸ‘ŒπŸ’―

29/10/2024

🚨una mwamini kwa silimia ngapi% mwamba

28/10/2024

Sancho anamanisha nini πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

28/10/2024

Vipi kuhusu XAVI kuja UNITED?? πŸ‘πŸ’―

28/10/2024

Tumekawiya sana kumufukuza uyu mwamba πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ’ͺ

28/10/2024

Club ya Manchester United imetangaza rasmi kuachana na Kocha wao Erik ten Hag baada ya mfululizo wa matokeo mabovu.

Taarifa hiyo imetolewa leo ikiwa ni siku moja imepita toka Man United wafungwe 2-1 na Westham United, Man United wamemtangaza Ruud van Nistelrooy kuwa Kocha wa muda wa Man United.

Erik aljiunga na Man United April 2022 na anaondoka akiwa katwaa Makombe mawili tu ambayo ni Carabao Cup 2023 na FA Cup 2024.

03/10/2024

Mimi sijawai kumuamini huyu kocha pale UNITED ivi wanasubiri nini kumufukuza?

30/09/2024

πŸš¨πŸ’° BREAKING:

It would cost Manchester United Β£17.5m to sack Erik ten Hag now.

πŸ“₯ Manchester United - Manchester Evening News

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dowa?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address

Dowa
DOWA