Norbert Hongoli
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Norbert Hongoli, Sports, Karatu, Arusha.
PM Lumen Radio
Football Announcers
Sports Pundit
General Coordinator TFF/TPLB
Media Officer ARFA
FIFA Grassroots & CAF Diploma D
Fahari ya soka la mtaa
Njombe Finest
Mc Hongoli
10/05/2026
“Yesu alisema mtu akinipenda atalishika neno langu na Baba Yangu atampenda nasi tutakuja kwake,” Yohana 14:23 Leo nimeadhimisha misa takatifu katika Parokia ya Paulo wa Msalaba Karatu mjini.
06/05/2026
Hakuna marefu yasiyokuwa na nchaa hatimae Yanga wamemfuta kazi kocha wao Pedro Goncalves,kila la heri kocha hii picha tulipiga katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid baada ya mechi kati ya TRA na Yanga.
📸 .fazzy_photography
04/05/2026
PD2026💍 Hongera sana Paulo Josephat kwa kupata mke mzuri Domitila Mwenyezi Mungu awajalie maisha mazuri na marefu zaidi,Kipekee zaidi Asanteni kwa kunichagua Mc Hongoli kusheheresha harusi yenu hakika ilibamba sana.
Chama amefunga miongoni mwa magoli mazuri sana msimu huu
Game on
02/05/2026
Project Today
💍Paulo & Domitila 2026 Wedding
🎤Mc Hongoli
🎶Dj Well
🔉Kb Sound
🏟️Jua Manyara Gardern
Watu wa Manyara Kibaoni tukutane hapo leo Nina Jambo la ndugu yangu
30/04/2026
Kipekee nitoe Shukran Zangu za dhati kwa kampuni ya Serengeti Breweries Limited Kwa kuniamini Mc Hongoli kuwa Mshehereshaji katika hafla ya Uzinduzi wamradi wa maji uliohudhuriwa na Mgeni rasmi Mh Eng. Kundo Matthew Naibu Waziri wa Maji katika Kata ya Baray iliyopo Wilayani Karatu.
Ndugu zangu Mc Hongoli ni Jina linalo aminika kwaajili ya kusherehesha tukio lako
30/04/2026
Hongera Kaka Seleman Mwalimu kwa kuendelea kuwa bora siku hadi siku naamini goli lako la jana kwenye dabi limekuongezea kujiamini zaidi kwenye game zijazo pia thamani yako inazidi kapanda kıla la heri champion
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema tume inataka uwajibikaji wa haki kwa waliohusika na matukio ya vifo vya watu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Aprili 28,2026, Jaji Chande amesema tume imefanya kazi yake ya uchunguzi na ikatoa mapendekezo kwa kile kilichobainika iundwe tume ya kuchunguza ili hatua za kisheria zichukuliwe.
“Kwanza hakuna mtu yoyote aliyekuja mbele ya tume akasema kusiwepo na uwajibikaji sote tunakubaliana. Si jambo geni kila mmoja tunakubaliana kuwe na uwajibikaji na hakuna aliyesema hapana na kila mmoja ametaka uwajibikaji lakini tunachosema kuwe na uwajibikaji wa haki.
“Tulishauriwa na viongozi wakuu wa nchi tuliowaona kwamba anayestahili kuwajibika awajibishwe kwa mujibu wa sheria na asiyestahili kuwajibishwa asiwajibishwe.
“Wengine wakaenda mbali zaidi kwamba asitolewe mtu kafara kwenye kuwajibishana. Ushauri
26/04/2026
Leo nimesali ibada Dominika ya 4 ya Pasaka katika Jimbo kuu katoliki Arusha Parokia ya Roho mtakatifu Ngarenaro,Mimi ndimi Mchungaji mwema Nao walio wangu nawajua,nao walio wangu wanijua mimi.
Yohana 10:14
22/04/2026
STAR BOY wa nchi Ramadhan Chobwedo amepewa zawadi ya viatu vyenye thamani ya Dolla za Marekani 400 kampuni ya Nike na mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh CPA Amosi Makala,kufuatia kuwa go bora ambacho amekionyesha akiwa na timu ya TRA United msimu huu, wakati wa Mungu ndio sahihi zaidi kaka kila la heri.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Arusha
255