T.M.A imetoa tahadhari ya mvua za El Niño za mwezi October mwaka huu, ni vyema ila wasiwasi wetu ni kuwaandaa kwa naneno kunatosha?. Tunajiuliza Mito na Makorongo iliyopoteza mwelekeo ineandaliwaje. Watu waliojiimarisha kwenye mikondo ya maji wamepewa elimu kiasi gani ili wahame kwa hiari kujisalimisha? Tunajifunza kwa kiasi gani kutokana na yanayotokea kwa wenzetu? Ramani ya asili ya nchi nani anayo kutambua Mito iliwahi kupita maeneo gani kabla ya kukauka na kuwa tambarare iliyowavutia watu Kujenga? Ikiamua kurudi hiyo Mito kwenye mikondo yake, waliojenga katika maeneo hayo wamejiandaaje kusalimika? Haya ndiyo maswali tunayoendelea kujiuliza muda huu, tukifuatilia yanayotokea kwa wenzetu.
Eva Baltazar Gidabuday
Private page
21/08/2026
Unajiandaa na kikapu chako kwenda kuvuna mahali haujawahi kuotesha mbegu wala kupalilia, huo ni ujambazi k**a ujambazi mwingine tu.
Haujawahi kuonekana kwenye picha ya pamoja na unaowaita ni ndugu zako, kwa kuwa haujawahi kuona umuhimu wa kuwa karibu nao, Leo unapata nguvu wapi ya kulazimisha wakuone ni mwenzao? Kutafuta fursa kusikufanye ukose haya na mipaka.
Kuna maisha ukichagua kuyaishi wakati ulipojiona juu, ukawaona wengine chini, Leo unapotumia nguvu kubwa watu hao wakutambie, unasahau kwamba makovu hayawezi kuponywa kwa kuwa Sasa anayeumia ni wewe. Ulifaa kuwekeza katika kujiandalia kesho itakayokuthamini.
Wazee wanasema ardhi inaandika mambo yetu, yawe mazuri kwa mabaya. Jiulize kwako wewe ni kipi kimeandikwa na ardhi iliyokusikia kwa miaka mingi?
Unatamani kutoa Ushuhuda wa ushindi kwa matamanio maovu unayowaza Kila siku, ila matendo yako ya kale yanakuangusha sana, na bado ya Sasa yatakuangusha uendako Ikiwa hautaachana na kupandikiza mbegu mbaya kwa watu uliowatesa kwa miaka.
Likikugusa ndiwe!
01/07/2026
Nani ataelewesha mtu huku jamani? Msimamizi wa mirathi haimaanishi kuwa amemilikishwa mali ya mhusika. Na hawezi kuwa aliyewahi kuwa kwenye migogoro naye!
01/07/2026
Nani ataelewesha mtu huku jamani? Msimamizi wa mirathi haimaanishi amemilikishwa mali ya mhusika? Na hata hawezi kuwa aliyewahi kuwa kwenye migogoro naye.
Katika mambo ya ajabu maskio kupata kusikia ni pamoja na mtu kuagizwa kuhakikisha anamshusha mwingine ili yeye apande juu! Au kumlaza mwingine njaa ili yeye ashibe, au adui amwombee njaa apate kumshinda. Hii ni mitazamo hasi ya watu waliojiaminisha kwamba huu ulimwengu ni wao na wao wameuumba. Vinginevyo, mengine majubu yatakuja yenyewe kwa wale ambao tegemeo lao linatoka juu
Cha kushangaza huko kumlaza njaa ni pamoja na kuunda mizengwe hatarishi inayoaminiwa na wenye upeo unaofanana na wa kwake. Kwani walio na upeo wao mkubwa hupima mambo na kudadisi uhalisia. Jioni njema lakini, ila huku pia nauza vitu vingi sana k**a mboga mboga, kuku, nyanya, kunde n.k. siyo masendeu pekee. Na njaa silali.
Umaana unaouona kwako uko kichwani mwako mwenyewe, wengine wala hawana habari nawe. Kila mmoja yuko busy kufanya yale yamfurahishayo uwe unavutiwanayo au la!
12/05/2026
With Sierre-Zinal – I just made it onto their weekly engagement list by being one of their top engagers 🎉
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Arusha
13178