12/07/2025
Akili za Makolo
Page Maalumu ya Kusapoti club yetu ya YANGA
12/07/2025
Akili za Makolo
17/04/2025
Habari njema
14/04/2025
π°ππππ ππππππ°
π
β½οΈ Young Africans SCπStand United
π 15.04.2025
π KMC Complex
π 10:00 Jioni
08/04/2025
Training
08/04/2025
Get well soon Doctor AUCHO
06/04/2025
Training with new coach
06/04/2025
ππππππ¬
"Tumejiandaa vizuri kuelekea mchezo wetu wa kesho dhidi ya Coastal Union. Tulikuwa na mchezo mzuri dhidi ya Tabora United na tunaamini tutakuwa na mchezo mzuri kesho tena dhidi ya Coastal Union, maana mchezo wa kesho hautakuwa mchezo rahisi na tunakwenda kucheza kwa umakini ili kuhakikisha tunaondoka na alama 3 muhimu"
04/04/2025
Tumerejea Dar Es Salam salama, thanks God
03/04/2025
Mashine ya kazi. Another Man of the Match
27/02/2025
ZAMBRO TRAORE
πKila mtu anafahamu ubora wa Pacome, ana ofa nyingi sana, lakini ukweli ni kwamba tupo kwenye mazungumzo na viongozi wa Yanga SC hatujafikia mwisho kwa asilimia mia moja, lakini tunakwenda vizuri kuna vitu vichache sana vimesalia kumaliza kila kitu na rais wa klabu yao (Hersi Said). K**a kila kitu kitamalizika atasaini mkataba na k**a havitamalizika anaweza kuondoka pia, sio tu Pacome hata Yao (Kouassi) naye mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu."Wakala wa Wachezaji Pacome na Yao
Credit:Mwanaspoti
17/02/2025
Points 52 kibindoni Thanks Allah!