Hamida Esports

Hamida Esports

Share

H sports lady

16/04/2026

: Ni magoli sita yamekaa kwenye nyavu za Mbeya City.

FT: Yanga SC 6-0 Mbeya City

Ilikuwa LIVE

16/04/2026

MSIMAMO: Makoti pekee yanatosha kuwasaidia wasipigwe na baridi kali kule kileleni…..????

16/04/2026

FT’|

Young Africans SC 6 πŸ†š 0 Mbeya City


16/04/2026

🚨_|| π—šπ—’π—’π—’π—”π—Ÿ...

YOUNG AFRICANS SC 6οΈβƒ£βž–οΈ0️⃣ MBEYA CITY

Photos from Hamida Esports's post 16/04/2026

Mbeya city wakubari Tu kwamba wanacheza Na timu kubwa Wasi force kupishana wataumia
Mexme this is football ⚽️ usijifnye k**a huwajui wanainchiiiiiii
Cheza mpira k**a kocha mzoefuπŸ˜†

16/04/2026

𝐇𝐓’|

Young Africans SC 5 πŸ†š 0 Mbeya City


16/04/2026

Yamal

16/04/2026

🚨_|| π—π—˜ π—¨π—Ÿπ—œπ—π—¨π—” π—›π—œπ—Ÿπ—œ? πŸ‡«πŸ‡·βœ¨

➑️ Michael Olise alipitia akademi tatu kubwa kabla ya kujitangaza rasmi:

β†’ Akademi ya Chelsea βœ…
β†’ Akademi ya Arsenal βœ…
β†’ Akademi ya Manchester City βœ…

➑️ Safari yake haikuwa ya kawaida lakini hatimaye alithibitisha uwezo wake! πŸ”₯

16/04/2026

Siku Arteta akipata muda ajitokeze hadharani kumuomba radhi kila shabiki wa arsenal kwa dhambi ya kumuuza Thomas partey na kutuletea Zubimendi. Zubimendi ni mchezaji wa timu za madaraja ya kati. Hili nimeliandika mara nyingi na sijawahi kubadili msimamo. Arteta alimleta Zubimendi sababu ni mhispaniola mwenzake.

16/04/2026

Bayern wana Olise, Kane na Wachezaji wengine wengi bora... ila katikati ya hao kuna huu Mwamba Joshua Kimmich πŸ”₯

Kimmich ndio controller wa Bayern. Yeye ndie anae amua Bayern wacheze vipi, washambulie kwa haraka ama wadumuishe umiliki wa mpira kwa pasi fupifupi.

Huyu ni miongoni mwa viungo bora kwa sasaπŸ™Œ

16/04/2026

Wanangu mnaomfananisha Olise na Lamine mnaangalia mpira kupitia nini?

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Bariadi?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address

157 MWANZA
Bariadi