10/08/2025
๐จ๐จ BREAKING: Mchana wa leo Yanga wamepokea ofa ya $1m (tsh 2,485,000,000) kutoka Espรฉrance Sportive de Tunis,ili kumpata Mzize.
De Tunis wanamtaka Mzize haraka sana,ila k**a watamkosa basi watagonga hodi Simba kuulizia huduma ya Dese Mukwala.
Chaguo namba moja ni Mzize na chaguo namba mbili ni Mukwala.
Follow Usajili na hansrafael14
10/08/2025
โNiseme tu Yanga wana roho mbaya hawataki kumwachia Mchezaji.Al Masry wamekuja na ofa ila Yanga wamegoma wanataka dola Million moja kumwachia wakati Mayele tu aliondoka kwa dola 500,000.Niseme tu Yanga wana roho mbaya na hawataki kumwachia wao wana hela hivyo wana kiburi.
"Walikuwa wanamlipa Million mbili ila ndio mwaka huu wamemlipa Million 15 ila hawataki akachukue zaidi. Naiomba Serikali watazame sana usimamizi wa mpira. Wengi wanadidimiza na kuwaonea Wachezaji kisa hali duniโ
- Jasmine Razack ambaye ni Msimamizi wa Clement Mzize akizungumza na Jembe FM. Follow na
11/05/2025
NBC Premier League leo Jumapili
Saa 10:00 jioni, KMC watakuwa uwanja wa nyumbani KMC Complex wakicheza na Simba SC
Hii ni mechi ya kwanza kwa Kocha Adam Mubesh kuiongoza KMC.
Je ataanza kwa ushindi ama mnyama kuendelea kugawa dozi?
Mechi hii itaruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
04/03/2025
Vita ya ndugu moja ndani ya klabu hapa ndipo napenda kuona hii battle inaendelea hadi msimu unaisha..๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
02/03/2025
Wamepokonywa tonge mdomoni dakika za jiooooooooooooooโฆ..!!!
Sare ya pili mfululizo kwa Al Ittihad....
FT: Al Ittihad 1-1 Al Okhdood
19/02/2025
Naombeni utabiri wenu wa kikosi Cha Leo Cha Simba vs Namungo
30/01/2025
Ukiwa unaangalia mechi ni mtangazaji gani huwa unafurahia sana kumsikiliza....