African Football Magazine AFM

African Football Magazine AFM

Share

Discuss about football

10/04/2023

DRC to TZ

Simba SC na Eric Kabwe (21) wamefikia makubaliano ya mdomo kwa nyota huyo wa AS Vita Club kujiunga na wababe hao wa Tanzania msimu ujao.

Hakuna mkataba wa awali ambao umetiwa saini bado lakini ni makubaliano ya mdomo tu katika hatua hii.

Klabu za Afrika Kusini, Sudan, Morocco, Algeria na Saudi Arabia zimewasiliana na wakala wake kwa ajili ya kutaka kuhama lakini mchezaji huyo aliweka wazi kuwa atachezea Simba.

Elewa; Kabwe atajiunga k**a mchezaji huru.

African Football Magazine AFM Discuss about football

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00