Haya mambo ya uwanja mimi nilikuwa nishaanza kusahau mmeanza kunikumbusha , halafu uwanja si wa kwenye Laptop jamani kwanini huyu Dada autafutie hapo juani ? si angekuja ofisini tumpe aone
nolly one
media personality || For Football
@simbasctanzania
Yani hii takataka ndo isajiliwe kwa Billion7๐ nimekaa pale naagiza supu bila wasiwasi mana naona k**a watu mna masihara na pesa za wawekezaji๐คฃ๐
Kijubwa ninacho kataa mimi ni kuniambia awa utopolo wanafanya vitu kiprofessional zaid๐
yani timu inasajili takataka kilasiku kwa mihemko ya viongozi na mashabiki na hawapati faida yoyot kupitia izo sajili wanazo zifanya na mwishoni wanaishia kuwatimua tuh. Alafu unasema wanafanya vitu kiprofessional brother k**a unatetea ujinga๐๐
Kikosi kimerejea MO ARENA tayari kwa mazoezi wa awali
๐Shida ndipo inapoanziaga hapaa
Huyu mvhambuzi wenu wa utopolo bwana hasn likija swala la msingi na lenye ukweli ndani yake k**a lina wahusu upande wa pili huku anakaaga kimya kabisa hachangiii mada ya ebu mtuambie sasa huo uwanja wa AI uko wapi au kilasiku inakuwa kesho๐๐
30/05/2026
๐ 10,000 FOLLOWERS! ๐
Asanteni sana familia ya Simba kwa sapoti yenu kubwa. Kufikisha followers 10K si jambo dogo, ni matokeo ya upendo, ushirikiano na imani mnayoiweka kwenye page hii. ๐โค๏ธ
Nitaendelea kuwaletea taarifa za uhakika, habari za usajili, matokeo ya mechi na kila kinachohusu Simba SC.
K**a bado hujanifollow, bonyeza Follow na uwashirikishe marafiki zako ili tuendelee kukua pamoja. Safari bado inaendelea kuelekea 20K! ๐
Penalty ya ushindi iliyo wapeleka U-17 Final
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
11101