19/03/2026
Mchezo umekwisha.
PATA HABARI ZA SIMBA SPORTS CLUB KWENYE PAGE HII
19/03/2026
Mchezo umekwisha.
19/03/2026
Ouraaaaaaaaaaaaaaaaa.
19/03/2026
Kikosi cha leo.
Taarifa za kila mara kuhusu mchezo zitatolewa kupitia Simba App.
18/03/2026
Tucheke kwanza 🤣🤣🤣
14/03/2026
Bodi ya Ligi Kuu imehairisha mchezo wa Ligi Kuu ambao ulipangwa kufanyika leo saa 10:00 jioni dhidi ya TRA United kwa kutumia Kanuni ya 34:1(1.4) ya Ligi Kuu kuhusu Kuahirisha mchezo na Kanuni ya 39:13 kuhusu Waamuzi, kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha mkoani Arusha, hali iliyosababisha uwanja wa Sheikh Amri Abeid kutofaa kwa matumizi ya mchezo huo kwa mujibu wa Kanuni.
Asanteni kwa Wanasimba wote waliojitokea uwanjani kuja kutushangilia.
14/03/2026
Kikosi cha leo.
14/03/2026
Mnyama mawindoni dhidi ya wakusanya kodi.
11/03/2026
Yani wafungwe na 🐸 alafu wamzuie 🦁 hiyo jeuri wameitoa wapi?
Tumekula ndugu wa ile familia.
Ouraaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
11/03/2026
07/03/2026
Matokeo ni yaleyale ambayo na wao waliyategemea.