19/09/2020
Bale is back
Hivyo ndio Unaweza kusema mara winga wa kimataifa wa Wales kusain mkataba na klabu ya Tottenham
Sport news
19/09/2020
Bale is back
Hivyo ndio Unaweza kusema mara winga wa kimataifa wa Wales kusain mkataba na klabu ya Tottenham
18/09/2020
Klabu ya Arsenal wamefikia makubaliano binafsi na Kiungo wa Lyon ya ufaransa Houssem Aouar
12/08/2020
Deal done
10/08/2020
Kiungo wa Yanga Feisal salum ameongeza mkataba wake wa kuwatumikia timu ya wananchi leo hii
09/08/2020
Aliyekuwa C.E.o wa simba rasmi amejiunga na Yanga Mara baada ya kujiuzulu simba
01/08/2020
Deal done
Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa beki wa kushoto wa Police Tanzania yassin Mustafa kwa mkataba wa miaka miwili
01/08/2020
Deal done
Klabu ya yanga imekamilisha usajili wa beki kisiki wa Coast Union Bakary Nondo Mwamnyeto kwa mkataba wa miaka miwili
01/08/2020
Deal done
Azam imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa kimataifa kutoka Rwanda Ally Niyonzima kwa miaka miwili Mara baada ya kumaliza mkataba na Rayol sport ya Rwanda
31/07/2020
Deal done
Klabu ya Yanga imemsajili kiungo wa kagera sugar Zawad peter mauya
31/07/2020
Deal done
Klabu ya Yanga sc imemsajili golikipa wa Kagera sugar Ramadhan chalamanda
31/07/2020
Klabu ya Yanga sc ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa beki wa kulia wa Kmc Kelvin Kijiri
31/07/2020
Klabu ya Simba sc imekamilisha usajili wa beki wa kulia wa Lipuli David Kameta