05/06/2026
FURUSHI LA PESA KUMG'OA OLISE: Vita Mpya ya Madrid na Bayern
Real Madrid C.F. imeweka mezani mpunga mrefu, Euro milioni 150 Ili kumsajili winga tishio wa FC Bayern München
Rais wa Madrid amesema "piga ua lazima Mfaransa huyo atue kikosini"
Ikumbukwe Kuwa mwezi uliopita Rais wa Bayern alisema "Michael Hauzwi hata kwa Euro Milioni 200"
Hii ni Vita ya PESA na Heshima, Je Nani atashinda Vita hii?
Tuandikie kwenye Comment
13/05/2026
Hii move lilistahili Kuwa Goli halali au Siyo Halali?
09/05/2026
K**A WEWE NI YANGA SC, LIKE HAPA
08/05/2026
Wababe wa Saudi Arabia, Al Hilal wameshinda Kombe la Mfalme kwa kuwafunga Al-Kholood magoli 2-1 kwenye mchezo wa fainali uliopigwa usiku huu.
Kombe hilo wamelitwaa kwa mara ya 10 katika historia yao, na wanafikisha jumla ya makombe 91 katika Mashindano yote.
Mchezo unaofuata, Watacheza na Wapinzani wao wakubwa Al Nassr Jumanne ya Wiki Ijayo Saa 9:00 Usiku kwenye mchezo muhimu utakaoamua hatma ya Ubingwa.
Upi Mtazamo wako kuhusu vigogo Hawa? Tuandikie