anode360

anode360

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from anode360, Sports, Dar es Salaam.

19/05/2022

GO AND PARTY LIKE 1994🙌,

football ni zaidi ya Uchizi.

Hili ni tukio pale Goodson Park baada ya Everton kupindua meza kibabe,

Bao la Calvert Lewin limewafanya mashabiki kushuka kutoka jukwaani na kuingia dimbani kushangilia bao hilo ambalo linafufu matumaini ya Everton kuendelea kusalia ligi kuu.

19/05/2022

Knowledge Musona maarufu kwa jina la Smilling Assasin ametangaza kustaafu kuitumikia timu ya taifa ya Zimbabwe.

Musona mwenye umri wa miaka 31 ameitumikia Zimbabwe kwenye michezo 49 na kufanikiwa kufunga mabao 24.

16/05/2022

Kinda wa kimataifa wa Tanzania Hajji Suleiman Mnoga ( ) amemaliza mkataba wake wa mkopo kwenye klabu ya Weymouth inayoshiriki ligi ya national league huko Uingereza.

Mlinzi huyo ambaye ameitumikia Taifa Stars michezo miwili ya kirafiki mwezi machi 2022 anajiandaa kurejea kwenye klabu yake ya Portsmouth.

Mnoga ana umri wa miaka 20 ma anamudu kucheza eneo la ulinzi wa kulia na kati.

12/05/2022

And It’s Arsenal,Arsenal FC ,

We’re by Far the Greatest team,the world has ever seen😎.

We all follow Arsenal,Over land and see,

We all follow the Arsenal onto victory😊.

OOOH TO BE AGOONER☺️

Photos from anode360's post 08/05/2022
07/05/2022

Brother -

01/05/2022

| | | | | |

29/04/2022

🧠,Thank you for your assistance |consideration |encouragement | Guidance | Time🙏🏻.

23/04/2022

Profesa wa Ghetto,

Mzee wa VISIT MOROGORO🇹🇿

14/04/2022

90+3 |UEL

BARCELONA 1-3 FRANKFURT[Agg 2-4]

Maombi kwa nguvu Barcelona😹

14/04/2022

ZANIOLO ON FIRE🔥

ROMA 4-0 BODOE/GLIMIT

⚽️⚽️⚽️Zaniolo
⚽️Abraham

60’ Game On

12/04/2022

“We can do no great things, only small things with great love."-Mother Theresa🙏🏻.

DELIGHT MAKERS' GROUP] DELIGHT MAKERS' GROUP]

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Dar Es Salaam