╱◥██████◣
│∩│🌄▤│▤▤│
K**a simu yako ni original copy hii 🤣🤣🤣
Matokeo ya michezo
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Matokeo ya michezo, Sports Event, Astonvillaswahili24. co. tz, Dar es Salaam.
02/10/2025
Anaitwa Aziz Andabwile mwambalaswa
Kiungo wa chini wa eneo la ulinzi la young Africans aziz andabwile ameonesha kiwango cha juu sana katika michezo ya yanga ya ligi kuu na ile miwili ya champions league thidi ya Waliete bengulla ya Angola 🇦🇴
Kwa mara ya kwanza anaitwa national team na hemedi sulemani almaarufu "morroco" kwenye kikosi kinachojiandaa kuikabili Zambia 🇿🇲 michuano ya kufuzu kombe la Dunia.
NB: TANZANIA 🇹🇿 na ZAMBIA 🇿🇲 wanakamilisha ratiba
10/09/2025
STAR 🌟
MBDSSO KHAN KWENYE SIMBA DAY 2025
Star wa bongo flava anaetamba na vibao vikali kwenye industry ya muziki kwasasa k**a vile na alitumbuiza kwenye tamasha la simba day alilo lifanya kwa ubunifu wa hali ya juu kabisa ubunifu huo ukifananishwa na filamu ya mambele huko ya mad max
Mwamba ametisha sana🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
08/07/2025
🏟 MATOKEO YA MECHI ZA JANA (YESTERDAY RESULTS )
Cosafa Cup 🌐 U20
Zambia 3-0 Eswatini
South Africa 3-0 Botswana
WAFCON 2024 🌍
South Africa W 2-0 Ghana W
Mali W 1-0 Tanzania W
Division Professional
Blooming 4-2 Real Oruro 🟥
🟥🟥 Academia del Balompie 2-2 Nacional Potosi 🟥
Euro 2025 🌐 Women
Spain W 6-2 Belgium W
🟥 Portugal W 1-1 Italy W
Veikkaussliiga
KTP 0-0 Gnistan
Besta Deild Karva
Hafnarfjordur 1-1 Stjarnan
Allsvenskan
Norrkoping 0-1 Brommapojkarna
Friendly International 🌍
Senegal 1-0 Guinea
Club Friendly 🌍
Newells Old Boys 1-1 Once Caldas
Mazatlan 2-1 Cruz Azul
Akron Togliatti 0-2 Arsenal Tula
Liberec 0-1 Hartberg
Qarabag 4-5 Metalist 1925
Radnicki 1923 3-1 IMT Novi Beograd Moses fundi ujenzi fundi ujenzi
07/07/2025
🚨...MPANZU HUYOO ANASEPA
Itakua ni jambo la kushtua sana hasa kwa wapenzi na mashabiki kindakindaki wa wekundu wa msimbazi baada ya winga wao machachari na hatari ELIE MPANZU kuletewa ofa mbalimbali kutoka timu kubwa barani afrika pamoja na Europe.
kwamujibu wa taarifa kutoka kwa waandishi wa habari za michezo kutoka drc Congo zinadai wababe wa michuano ya kombe la shirikisho barani afrika RS Berkane kutoka Morocco 🇲🇦 , Stade Brestois 29 inayocheza league one maarufu k**a kutoka ufaransa 🇫🇷 na timu ya zamani ya star wa Tanzania 🇹🇿 samatta KRC Genk 🇧🇪
ukizitazama ofa hizo kulingana na aina ya timu zinazo muhitaji unapata kujua kuwa itawawia vigumu matajiri hao wa msimbazi kumzuia ELIE MPANZU, hata mchezaji mwenyew hawezi kukubali kuziacha fursa k**a hizo zimpite pia ikumbukwe hawa wachezaji ni wafanya kazi k**a wafanya kazi wa taasisi zingine.
Tutarajie kuiona simba ambayo haina mpanzu msimu ujao.
ukitaka kujenga nyumba yako ya maisha au finishings za plasta nicheki fundi wako Moses fundi ujenzi au piga 0783222009 muda wote na mikoa yote nafika
🏃➡️🏃➡️
21/04/2025
Papa Francis amefariki dunia Jumatatu, Aprili 21, 2025 akiwa na umri wa miaka 88 katika makazi yake katika Casa Santa Marta, Vatican.
SOLID OUT TU
Kwenye tuzo aaaaah
😂😂
01/07/2024
NGOMA IKILIA SANA MWISHO HUPASUKA
MWAMBA WA LUSAKA Clatous Chama NI MWANANCHI🙆
taarifa ya kushtukiza hii kwa wanasimba wote huku msemaji wetu akiruka ruka tu k**a ndege kuhusu kila siku porojo tu kumbe hakuna lolote hii ni aibu kwa idara ya habari ya SSimba SC Tanzania.
Leo hii anaondoka chama unajiuliza mchezaji gan mkubwa anasajiliwa mara mutale mara debora, hivi hawa wachezaji mmewahi kuwaona hata kwenye shirikisho wakifanya vizuri maana kwenye mataifa yao sijawahi hata kuwasikia.
Tutaendelea kushindania nafasi ya pili maana hata timu ya ubingwa hatuna mtu k**a chama ameondoka, inonga ameondoka na saidoo ameondoka hawa wote ni first 11 unatuletea wachezaji hawaeleweki hivi jobe na fred mnawaacha wamefanya kazi gan nzuri yakuwavutia.
NB SIMBA DAY mtakuja wenyewe💔 maana timu inasajili wachezaji lakini kocha hakuna❌🙆🙆🙆🙆
10/06/2024
Bongo flava❤
Alikiba X
15/04/2024
🚨 SIMBA MPYA
Maamuzi yamefikiwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah Try Again amekubali kuwa ataachia ngazi kwenye nafasi hiyo.
Barbara Gonzalez anatarajiwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi akichukua nafasi ya Try Again.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam