26/08/2021
Klabu ya Simba SC Tanzania yatangaza mkutano na wahandishi wa abali
this page for sports news
26/08/2021
Klabu ya Simba SC Tanzania yatangaza mkutano na wahandishi wa abali
26/08/2021
Repost from no dewjji
Ilikua ni furaha kukutana na Jason Levien, ambae ni mmiliki wa klabu ya mpira wa miguu ya DC United ambayo ina thamani ya dola za kimarekani millioni 700! D.C. United
Nina furaha kutangaza ushirikiano mpya kati ya klabu za DC United na Simba.
Ifikapo mwaka 2022, klabu ya Simba itasafiri kwe da Marekani kwaajili ya mazoezi na maandalizi ya msimu mpya, na pia itashiriki katika mashindanobya kimataifa yatakayoandaliwa na klabu ya DC United, ambayo yatahusisha ligi ya MLS na vilabu kutoka Amerika ya Kusini.
//
It was a pleasure to meet Jason Levien, owner of American professional soccer club DC United, which is valued at over 700M USD!
I am excited to announce a new partnership between DC United and Simba Sports Club.
In 2022, Simba will travel to America 🇺🇸 for preseason training and will also participate in an international soccer tournament hosted by DC United that will include Major League Soccer (MLS) and Clubs from South America.
26/08/2021
Afisa abali wa klabu ya simba sc Ezekiel kamwaga amethibitisha kuwa kiungo saidi hamisi ndemla amejiunga na mtibwa sugar kwa mkopo
26/08/2021
Chirwa ndani ya namungo fc amejiunga akiwa mchezaji huru akitokea azam fc
26/08/2021
Mohammed issa banka amejiunga na klabu ya namungo fc akitokea klabu ya ruvu shooting
26/08/2021
Kaimu katibu mkuu wa klabu ya yanga sc CPA haji mfikirwa amesema haji manara haendi kuchukua nafasi ya nugazi au bumbuli ila kuna kazi maalumu ambayo watampa aende akaifanye
26/08/2021
SIMBA SC siku ya leo huenda wakatangaza tarehe ya simba day
25/08/2021
JEZI MPYA ZA KLABU YA YANGA SC
20/08/2021
Uongozi wa klabu yanga sc umesema utatambulisha jezi mpya za msimu ujao kwenye siku ya mwananchi lengo la kufanya hivo nikuepuka wale wanao tengeneza jezi feki
20/08/2021
Jezi za nyumbani na ugenini za azam fc
20/08/2021
Jezi namba mbili ya ugenini ya azam fc
20/08/2021
Makambo na mayele combo mpya ya wananchi