15/05/2024
30Times
Yanga Mabingwa wa Muda wote Tanzaniaπͺ
15/05/2024
30Times
18/04/2024
ππππππ πππ πππππππππ°
πππ wa Wananchi sasa ni ππ,πππ ππ! K**ata U*i wako Original twende tukakiwashee Jumamosi kwa Mkapa πΉπΏ
16/03/2024
27/02/2024
βSiku ya Ijumaa (siku ya mchezo), tutaonesha mechi yetu hapa jangwani kwa ajili na wanachama mashabaiki na wapenzi wa Yanga SC kushuhudia mchezo huo. Mimi k**a Rais wa Shangwe, najaribu kuwaza k**a tunaweza kuwa na shughuli ya kushangilia ushindi wetu wa nne hapa kwenye hiyo siku. Ikiwezekana hata tupate supuβ. Meneja Habari na Mawasiliano Young Africans SC
Africans Sports Club
26/02/2024
K**a timu yako ina wavunja kuni wengi, hizi takwimu lazima uzichukie!
Africans Sports Club
26/02/2024
Young Africans Sports Club to the Quarter Finalπ₯π₯
16/08/2023
ππΌππ7β£ πΌππππΌ πππΌππΌπ½πΌ ππππΌ
Baada ya kuvutiwa na kiwango chake uongozi wa Yanga SC umeuchana mkataba wa awali wa miaka miwili wa Maxi Nzengeli.
Mabosi wa klabu hiyo wamempa gari la kifahari pamoja na kumboreshea mshahara wake. Watamuongeza mkataba mpya wa miaka (4). Muda wowote kuanzia leo atasaini mkataba mpya na klabu hiyo.
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, pia klabu hiyo itamuongeza mkataba mpya wing-back wao, Yao Attohoula (26)
Ukiachana na viwango vyao, pia uongozi wa Yanga umeshtukia mchezo wa baadhi ya mawakala kutoka ndani na nje ya Nchi walioanza kuulizia mikataba yao.
16/08/2023
Vipi mwamba aboreshewe maslahi upya au wamuache k**a alivyo?!!