01/08/2017
Magazeti ya leo August 1 .2017
michezo ni afya, michezo ni maisha.
01/08/2017
Magazeti ya leo August 1 .2017
11/05/2017
Antonio griezman akifunga bao kwa mkwaju wa penati dhidi ya real Madrid. Atletico Madrid walishinda 2_1 ila waliondolewa kwa utofauti wa mabao. (2_4)
11/05/2017
Fainali ya historia.
Je ni juventus au real Madrid.
19/04/2017
Leicester city 1_ atletico de Madrid 1
19/04/2017
Mshambuliaji wa Leicester city Jamie vardy akiwa amelala chini baada ya kutoka sare ya kufungana moja kwa moja dhidi ya Atletico de Madrid katika uwanja wa King power uingereza.
19/04/2017
Cristiano Ronaldo amefunga mabao 5 katika mechi mbili dhidi ya bayern munchen. Na kuweza kuipeleka timu yake katika hatua ya nusu fainal.
19/04/2017
Uefa champion league
07/07/2016
CRISTIANO RONALDO
Ni Jina linalotamkwa kwa wingi midomoni mwa wapenda soka duniani kote baada ya kuisaidia timu yake kutinga hatua ya fainali kwa jumla ya mabao 2-0 , akiifungia bao moja na kutoa pasi iliyozaa bao dhidi ya Wales katika uwanja wa Parc ol ufaransa.
03/07/2016
Klabu ya Manchester United imelizia kumuacha aliyekuwa kocha msaidizi Ryan giggs kwenda kuendeleza kazi yake ya ukocha kunako vilabu vingine
03/07/2016
Borrusia dortmond wamethibitsha kumuuza kiungo wao harrikh kwenda katika klabu ya Manchester United