Tiba na donn petero

Tiba na donn petero

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba na donn petero, Dar es Salaam.

23/01/2024

PI.D NIN,DALILI ZAKE NI ZIPI, MADHARA YAKE NI
YAPI?
PI.D- Pelvic Inflammatory Disease.
PI.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa
mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye
shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo
wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya
uzazi(SALPINGITIS)
Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi
ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na
CHLAMYDIA TRACHOMATIC
WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA PL.D
-Kupitia ngono zembe
-Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
-Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
-Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na
kisonono
-Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
-Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya
kutoa mimba
-Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au
kumvutia mpenzi wako
-Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na
sindano)
- Kuwa na U.T.l. sugu au fungus ya muda mrefu
DALILI ZA PI.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza
ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu
MADHARA YA PI.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara
mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha
upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha
yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za
uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai
kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia
mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi
JINSI YA KUEPUKANA NAPLD
Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa
kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;
-Epuka kufanya ngono zembe
-Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba
kutoka
-Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
-Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe
bora
-Epuka kushare nguo za ndani
UNAPOONA DALILI ZA UGONJWA HUU WAHI
KUPATA MATIBABU. KWANI UGONJWA HUU NI
HATARI NA HUWEZA KUKUSABABISHIA UGUMBA
AU KANSA YA SHINGO YA KIZAZI
Ugonjwa wa P.I.D unatibika vizuri kabisa hivyo basi k**a wataka tiba nitafute
255759991617

23/01/2024

PI.D NIN,DALILI ZAKE NI ZIPI, MADHARA YAKE NI
YAPI?
PI.D- Pelvic Inflammatory Disease.
PI.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa
mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye
shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo
wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya
uzazi(SALPINGITIS)
Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi
ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na
CHLAMYDIA TRACHOMATIC
WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA PL.D
-Kupitia ngono zembe
-Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
-Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
-Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na
kisonono
-Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
-Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya
kutoa mimba
-Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au
kumvutia mpenzi wako
-Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na
sindano)
- Kuwa na U.T.l. sugu au fungus ya muda mrefu
DALILI ZA PI.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza
ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu
MADHARA YA PI.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara
mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha
upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha
yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za
uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai
kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia
mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi
JINSI YA KUEPUKANA NAPLD
Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa
kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;
-Epuka kufanya ngono zembe
-Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba
kutoka
-Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
-Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe
bora
-Epuka kushare nguo za ndani
UNAPOONA DALILI ZA UGONJWA HUU WAHI
KUPATA MATIBABU. KWANI UGONJWA HUU NI
HATARI NA HUWEZA KUKUSABABISHIA UGUMBA
AU KANSA YA SHINGO YA KIZAZI
Ugonjwa wa P.I.D unatibika vizuri kabisa hivyo basi k**a wataka tiba nitafute
255759991617
2556760

22/01/2024

*SFaida Za GymEffect Capsules...*
Ni kirutubisho kilichotengenezwa Kwa teknolojia
kubwa sana na kinasimama badala ya GymEase tea
Viambata*
Gymnema slyvetris extract
Chromium- Rich yeast
Pyrroloqunonine Quinone (PQ0) Disodium salt
*Faida zake Kwa ujumla..*
Inasaidia kuvunja sukari inayo ingia mwilini
Inasaidia Kuondoa magonjwa ya moyo
Inasaidia kuongeza kiwango Cha insulin ili
Kuondoa sukari iliyozidi
Husaidia kupambana na magonjwa ya moyo
Inasaidia kupunquza kiwango Cha sukari
kinachotumika mwilini
Husaidia kuvunja Mafuta mabaya mwilini
(cholesterol)
I Husaidia kupunguza Uzito
Ni nzuri sana Kwa wanaokula vyakula vya Mafuta
mengi na sukari nyingi
Ni nzuri Kwa Watu ambao ambao hawafanyi
mazoezi.
*MATUMIZI...*
Vidonge viwili Kwa siku nusu saa kabla ya kula
(2x1 )
Supf
BF SUMA
Gym Effect
Capsules
Gymnema Sylvestris Extract,
Chromium-Rich Yeast and
Troloquinoline Quinone
Disodium Salt Capla
Healthy Blood
SugarLeval

matumizi ni vidonge viwili kwa siku mara moja (2×1)

22/01/2024

JE WAFAHAMU SIRI YA
KUJITUNZA KUENDELEA KUONEKANA KIJANA
MILELE..
Faida za NMN DUO Mwilini
1 Kuongeza metaboli ya Mafuta mwilini NMN inasaidia
kuvunjavunja Sukari kuwa nguvu katika mwili.
NB:umetaboli: hali ya ujenzi na uvunjajivunjaji wa kemikali
mwilini
2 Huzuia na kusaidia watu wenye ugonjwa wa kisukari
KISUKARI aina zote
3 Ni nzuri sana kwa watu wanaotaka kupunguza mwili
kwani huongeza kasi ya uyeyushwaji wa mafuta na kuzuia
unyonywaji wa mafuta mwilini. Hivyo kutoa tatzo la
manyama uzembe na vitambi.
4 Ni maalumu kwa kupambana na uzee (Ant aging and
DNA repair) NMN inatumika kutengeneza/kusaidia DNA
zilizoharibika na kuathiriwa na matatizo mbalimbali Kiboko
ya kakunyanzi,uzee hii ndo ukomo wake
inaondoa stretch marks, inaomdoa ngozi iliyoharibiwa na
vipodozi vikali, inakupa muonekano mzuri na kirejesha
ujasiri usoni.
5 SIRTUIN ACTIVATOR- Inaongeza uwezo wa Genes
kufanya kazi mwilini kwa muda mrefu na hivyo kurefusha
maisha, uzuia magonjwa yanayoathiri seli hai za mwili na
kuwasaidia waliokwosha athiriwa nayo.
Husaidia pia kuzuia na kupambana na magonjwa ya
saratani katika maeneo mbali mbali ya mwili, kwakuongeza
kinga za mwili na kuzuia uzalishwaji wa seli zisizohitajika
mwilini.
6*AFYA YA UBONGO NA MOYO*
Inazuia magonjwa k**a dementia;
Kuimarisha Mishipa na Misuli ya damu mwilini
inaDoresna usaTirisnwajı wa vamu KuOKa kaIka moyo
mpaka kwenye ubongo ma sehemu nyingine za mwili, hivyo
kuzuia na kusaidia matatizo k**a ya Stroke (kiharusi)
Paralysis (kupooza) pressure (shinikizo la juu na la chini la
damu).
7 *AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME*
Inakupa nguvu ya kurudia tendo!
Inasaidia kurejesha tezi dume katika ubora wake kuondoa
maumivu na kuponyesha kabisa,
8 *AFYA YA UZAZI KWA MWANAMKE*
Inaondoa uvimbe kwenye kizazi (fibroids) Inaondoa uvimbe
kwenye mayai ya uzazi (ovarian cyst)
Inang'arisha ngozi
*9Juu ya afya sukari aina zote*
-Inauwezo mkubwa wa kuisaidia kongosho kuweza
kuzalisha insulin yake lenyewe ndanibya mwezi mmoja tu
kuona mnatokeo makubwa
*10|Afya ya viungo na maungio*
-Ina uwezo mkubwa sana kumpa nguvu mtu yoyote awe
mzee au kiiana mwenve shida kwenve mifupa na maungio
255759991617
255676039339
4 days ago See translation
nmn_duo_realiese_tanzania
Kib

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address

Dar Es Salaam