02/08/2025
Kalenda ya Matukio na Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
Karibu NaAsante Kwa Kulike Page Yetu
02/08/2025
Kalenda ya Matukio na Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
26/07/2025
Viingilio vya mchezo wa ufunguzi wa CHAN Tanzania vs Burkina Faso, Agosti 2 Benjamin Mkapa
22/07/2025
Mudathir Yahya Abass ameongeza mkataba wake ndani ya Mabingwa wa Nchi Young Africans Sports Club mpaka 2027.
No doubt Simu ziendelee kuita💪💪
19/07/2025
ZIMBABWE AWAPIGA THANK YOU SIMBA
13/07/2025
CHELSEA MABINGWA WAPYA WA KOMBE LA DUNIA KWA VILABU
Fainali: ⏰ 'FT
🏴 Chelsea 3️⃣-0️⃣ PSG 🇫🇷
⚽ Joao Pedro
⚽⚽ Palmer
tueleleze umeuonaje mchezo huo wa Fainali?
13/07/2025
🥅 *GOOOOLL!!* 🥅
🇽🇪 Chelsea [3] x 0 PSG 🇫🇷
⚽ Cole Palmer
🎯 Joe Pedro
🏆 Supe Final
⚽*
Kombe la Dunia la Vilabu:
Fainali: ⏰ '25
🏴 Chelsea 1️⃣-0️⃣ PSG 🇫🇷
⚽ Palmer
13/07/2025
🚨 *TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA*
Chelsea wana nia ya kumsajili mlinda lango wa Paris St-Germain na Italia Gianluigi Donnarumma, 27. (L'Equipe)
Newcastle wamefufua nia ya kumnunua mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt Mfaransa Hugo Ekitike, 23, na wanatumai kuwashinda Liverpool kwenye usajili wake. (Telegraph)
West Ham wana nia ya kumsajili kiungo wa kati wa zamani wa Aston Villa Douglas Luiz kutoka Juventus, huku Mbrazil huyo mwenye umri wa miaka 27 akiwa ametatizika kufanya vyema kwenye Serie A. (Gazzetta dello Sport)
Cc; BBC NEWS SWAHILI
11/07/2025
WAFCON 2025
➡️⚽Mchezo Ni Mapumziko
🇹🇿1⃣
🇿🇦0⃣
⚽ Opah Clement
*Kwa Emoji Moja Hapa Umekionaje Kipindi Cha Kwanza?*⤵️
11/07/2025
Winga wa klabu ya Simba SC 🇹🇿, Edwin Balua, amejiunga rasmi na klabu ya Enosis Neon Paralimni ya nchini Cyprus 🇨🇾 kwa mkopo wa msimu mmoja.
Uhamisho huo tayari umekamilika rasmi (Done & Sealed 🔒) huku ukiwa ni sehemu ya mpango wa kumpa mchezaji huyo nafasi zaidi ya kucheza na kukuza kipaji chake kwenye ligi ya Ulaya.
06/07/2025
FT: TEAM JOB 1-1 TEAM KIBWANA
52’—⚽️ Dickson Job (Penalti)
39’—⚽️ Nassor Saadun
Kikosi kilichokuwa kimeundwa na Dickson Job kimeibuka na ushindi kwa penalti 4-3 baada ya mchezo kumalizika kwa bao 1-1 kwenye mchezo wa kirafiki wa hisani uliondaliwa na Taasisi ya WAPE TABASAMU.
06/07/2025
Muonekano wa jezi Mpya za AZAM FC kwa ajili ya Msimu ujao wa 2025/2026
*Kwa Emoji Moja Hapa Unaondoka Na U*i Upi?*
🔵⚪⚫