Simba Family

Simba Family

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Simba Family, Sports Team, Dar es Salaam.

16/06/2025

๐Ÿ•ต๏ธโ€โ™‚๏ธ

06/06/2025

๐Œ๐Š๐ˆ๐‰๐€ ๐’๐ˆ๐Œ๐๐€ ๐๐ˆ๐๐†๐–๐€, ๐Œ๐’๐ˆ๐๐Ž๐Š๐”๐‰๐€ ๐’๐ˆ๐Œ๐๐€ ๐๐ˆ๐๐†๐–๐€๐Ÿ†

Kanuni namba 31 Ligi Kuu Bara inasema :

"Timu yoyote itakayokosa Kufika Uwanjani bila sababu za msingi zinazokubalika na TFF /TPLB ama kusababisha mchezo usifanyike itakabiliwa na adhabu zifuatazo :

1.1 Kutozwa Faini ya Tsh. Milioni 5 ambapo Nusu itaenda TPLB na Nusu itaenda kwa Wapinzani

1.2 Kulipa fidia ya maandalizi au uharibifu wowote unaoweza kujitokeza

1.3 KUPOKWA ALAMA 15 na Viongozi waliosababisha hilo kufungiwa kwa miezi isiyopungua 12

Tunakumbushana tu

30/05/2025

TETESI : SIMBA IJAYO NI BALAA ZITO
Chini ya kapeti Simba wanaiwinda kwa Nguvu zote Saini ya Mchezaji hatari wa Al hilal Omdurman na timu ya Taifa ya Sudan Mohammed Abdelrhman kwenye drisha kubwa la Usajili mwishoni mwa msimu huu.... Simba wameamua kweli Kweli hawataki utani hata kidogo.

25/05/2025

SIKU YA UBAYA UBWELA.

25/05/2025

๐Ÿ‘‰๐Ÿ”Ÿ.

Photos from Simba Family's post 25/05/2025

Tupo kamili gado.

Photos from Simba Family's post 25/05/2025

Historia kubwa kwa klabu na nchi itaandikwa leo kwa usimamizi wa Kocha Fadlu.

Photos from Simba Family's post 25/05/2025

๐Ÿงค Manula.
๐Ÿงค Abel.
๐Ÿงค Camara.
๐Ÿงค Salim.


25/05/2025

Hakuna mchambuzi aliipa Simba nafasi kuwatoa AL AHLI TRIPOLI iliyokua na wachezaji wakubwa

Wengi walisema Simba inaishia pale, Kilichofuata Walibya waliitwa Wabovu

Hakuna mtu aliamini k**a Simba ingeongoza Kundi, Kila mtu alimpa nafasi Constatine

Hakuna mtu aliamini k**a ile TUNAVUKA kwa Al Masry ingefanikiwa haswa baada ya kutanguliwa 2-0 ugenini

Hakuna mtu aliamini Simba angecheza FAINALI ya CAFCC msimu huu, Hata Wanasimba wenyewe hawakufikiria, ni wakati wa Mungu TU

Baada ya Simba kufungwa bao 2-0 ndani ya Dk 15 tu pale kwa RS Berkane, Hakuna mtu aliamini k**a game itaisha 2-0 .... Wengi waliamini zikiwa chache basi ni 4G

Ila Mungu sio Ali Kamwe, Ngoma imeisha vile vile 2-0

Nataka kusema hivi, Kila ambacho hamkuamini kilikua, Na hata hili la sasa ambalo hamuamini nalo litakua

Huu ni wakati wa Mungu, Ni wakati ambao ni sahihi, Berkane wamekuja Tanzania wakati mbaya ๐Ÿ†

24/05/2025

Wageni wanakaribishwa kwenye ardhi iliyobarikiwa ya Tanzania. Hali ni shwari kuelekea kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika.

24/05/2025

Heri ya siku ya kuzaliwa Che Malone Fondoh.

18/05/2025

ู‡ุฐุง ู‡ูˆ ูˆู‚ุชู†ุง ูˆู†ุญู† ู†ุนู†ูŠ ุฐู„ูƒ.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address

Dar Es Salaam