Yanga sc News

Yanga sc News

Share

Founded by Maximilian Mutalemwa Damian

## INTRODUCTION

In a rapidly evolving digital landscape, the TZC Network emerges as a pioneering initiative aimed at enhancing the economic stability of its members through blockchain technology and cryptocurrency.

what's a goal from Peter Shalulile 31/07/2026

what's a goal from Peter Shalulile πŸ’›πŸ”°πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨πŸ’›

what's a goal from Peter Shalulile Nyd de videoer og den musik, du holder af, upload originalt indhold, og del det hele med venner, familie og verden pΓ₯ YouTube.

31/07/2026

Nawasalimu wote.

Nina furaha na heshima kubwa kujiunga na Young Africans SC, klabu yenye historia kubwa, mafanikio makubwa na mashabiki wa kipekee.

Kwangu, hii ni fursa na changamoto muhimu katika maisha yangu ya soka. Nimekuja kwa unyenyekevu, kujituma na ari kubwa ya kuchangia mafanikio ya timu. Lengo langu ni kufunga mabao, kuisaidia Yanga kutetea na kutwaa mataji, pamoja na kushindana kwa kiwango cha juu katika CAF Champions League.

Ninatoa shukrani za dhati kwa uongozi wa klabu kwa kuniamini na kunipa nafasi hii. Ninasubiri kwa hamu kuvaa jezi ya Yanga, kukutana na mashabiki wetu, na kuanza safari hii mpya ya mafanikio pamoja.

Daima Mbele! πŸŸ¨πŸ’šπŸ’ͺ

Ameandika Cheikh ibrahim Toure kwenye ukurasa wake wa instagram

31/07/2026

YANGA WANA NGUVU KUBWA MBELE! πŸ’₯🟒🟑

Mpaka sasa, Yanga ina washambuliaji watatu wa kigeni

πŸ‡¦πŸ‡΄ Laurindo Depu
πŸ‡ΈπŸ‡³ Cheikh Ibrahim TourΓ©
πŸ‡³πŸ‡¦ Peter Shalulile

31/07/2026

HUYU SHALULILE MMMH NOUMA SANAA πŸ’›πŸ’›πŸ’›πŸ₯°

,

31/07/2026

Kocha Manqoba Mngqithi amemshawishi beki wa Golden Arrows, Oumar Comara, kujiunga na Young Africans SC (Yanga).

Beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 25, raia wa Ivory Coast, alikuwa nguzo muhimu ya safu ya ulinzi ya Mngqithi msimu uliopita.

Wananchi mnasemaje kwenye hili?

Photos from Yanga sc News's post 31/07/2026

MWANA YANGA UNAUONAJE USAJIRI WETU WA KIMATAIFA???

24/07/2026

🚨 HESHIMU SANA KITU KINAITWA PESA πŸ™Œ J EAN CLAUDE GIRUMUGISHA

πŸŒπŸ™Œ Ngoja pakucheπŸ™Œ

24/07/2026

BREAKING; Taarifa nliyopenyezewa ni kwamba Klabu ya Yanga ipo kwenye mpango wa kushusha MCHEZAJI MKUBWA ambae ameshaonyesha ubora kwenye ngazi kubwa kimataifa.

Anatoka hapa hapa Afrika na anaweza kua usajili ghali zaidi kwenye historia ya Klabu ya Young Africans Sports Club

23/07/2026

ERICK MWIJAGE (ZENDEN) WA KMC ASAJILIWA YANGA

Photos from Yanga sc News's post 21/07/2026

MUTASINGWA WA AZAM ATIMKUA KAIZER CHIF YA AFRICA KUSINI

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address


Kyamaiz Street
Dar Es Salaam
20000