Serikali ya wanafunzi Dasjoso inapenda kuwataarifu wale wote walioomba hati za kusafiria ziara ya kimasomo Kenya kuwa awamu ya kwanza ya Hati hizo zimetoka leo
12/6/2013...Hivyo unaombwa kufika ofisini kuchukua pasport yako au wasiliana waziri wa Elimu Kichere Daudi Mataro.
Wafuatao waje kuchukua Hati zao za kusafiria.
1.JANETH STEPHEN BANNALI
2.FRANK RENATUS MEZA MEZA
3.KIIZA HUSSEIN SUNGURA
4.JAZILA SHABAN MRUTU
5.MARY AIDAN CHIFWILA
6.REVINA JOHN LAZARO
7.FRANK MIHAYO KAYAGILA
8.AVEMARIA ADRIAN LUHIMBO
9.BRIGITA HENRY MSASALAGA
10.ENANCE AJACKSON MREMA
11.EPHRAM WILLIAM MPINGA
12.ROGATHE FREDRICK MANGESHO
DSJ FUNS PAGE
DAR ES SALAAM SCHOOL OF JOURNALISM
Dar es salaam school of journalism is located in Tanazania chiXCXCef port at the heart of Dar es salaam city Ilala,sharif shamba area .Dsj provide qualification which gives graduates and advantages in job marketing whether in the field of print or electronic media .Dsj causes carries the finnest international s credentials since 2003 in that is rthe registered by the regulation only as
28/05/2013
http://peterdafi.blogspot.com/2013/05/nando-feza-tanzanian-big-brother.html
NANDO & FEZA TANZANIAN BIG BROTHER REPRESENTATIVE 2013.....!!! - peterdafi welcome to peter dafi blogspot!
wat would u guyz like to do, so as dsj members can be welcome back again to these funpage to share ideas and lots of things together as one
happy monday guyz.
happy monday guyz
11/12/2012
guyz what is happening in DSJ
10/12/2012
Leo ni siku ya kusherehekea miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania. Tuma salamu za Uhuru kwa washkaji zako sasa.
Na, Je, una lolote la kusema kuhusu nchi yako na miaka 51 ya Uhuru?
TAHADHARI: Tafadhali tunaomba usitumie lugha chafu unapotoa comment zako!
10/12/2012
Mambo vipi? Hawa jamaa ndio wanaoongoza kwa ufungaji magoli kwenye CECAFA CHALLENGE CUP 2012 mpaka sasa. Wote wanatoka Kilimanjaro Starz.
Dodoso: Kwa maoni yako, nani ni MKALI kati ya MRISHO NGASSA na JOHN BOCCO?
Funguka ya moyoni!
10/12/2012
Rais Jakaya Kikwete amewaongoza Watanzania kwenye kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya uhuru wa Tanzania Bara wakati huo Tanganyika.
10/12/2012
Oiii, mambo niaje? Kwenye picha hii ni Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Ally Hassan Mwinyi wa awamu ya pili (kushoto), Mhe. Benjamin W. Mkapa wa awamu ya tatu (kulia) na Mhe. Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa sasa wa Tanzania (katikati).
Bofya "LIKE" kwa Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi.
"COMMENT" kwa Rais wa sasa Dr Jakaya Mrisho Kikwete.
"SHARE" kwa Rais Mstaafu Benjamin W. Mkapa.
TAHADHARI: Tafadhali tunaomba msitumie lugha ya matusi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
TEL+255