CRIX ORG

CRIX ORG

Share

#teacher

10/01/2025

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›๏ธAGAINST ALL ODDS

๐Ÿ”ฐ...๐๐„๐—๐“ ๐”๐

๐Ÿ†
โšฝ๏ธ AL Hilal๐Ÿ”ต ๐Ÿ†š ๐ŸŸกYoung Africans Sports Club
๐Ÿ“† 12.01.2025, Sunday
๐ŸŸ Cheikha Ould Boidiya Stadium, Mauritania
๐Ÿ•– 22:00 EAT.

ORG

10/01/2025
10/01/2025

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›๏ธSAFARI NYINGINE ZINASHANGAZA SANA.

๐Ÿ”ฐ...Imagine unatoka nchi moja ya Afrika, unaelekea nchi nyingine iliyopo ndani ya Afrika ila unapitia Ulaya.๐Ÿ˜ƒ

๐Ÿ”ฐ...Tanzania [Africa] โœˆ Uturuki [Ulaya] โœˆ Mauritania [Africa] yaani unatoka Afrika unaelekea Ulaya ndipo ufike Afrika. Bila D mbili huwezi kuelewa sawa Shabani๐Ÿ˜ƒ

ORG

10/01/2025

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›๏ธNI NDANI YA MUDA MFUPI TU ILA WANANCHI WAMEANZA KUONA MATUNDA YA KAZI BORA YA KOCHA LA VIUNGO, ADNAN BEHLULOVIC.

๐Ÿ”ฐ...Fitness ya wachezaji inarudi kwa kasi sana,,, nazungumzia ile fitness waliyokuwa nayo wachezaji wanapiga boli kwa kasi na kwa nguvu ile ile mwanzo hadi kipyenga cha mwisho kinasikika. Ile fitness ambayo ilikuwa inawapa nguvu ya kupambana na kukimbia bila kuchoka muda wote wakiwa uwanjani inarudi kwa kasi.

๐Ÿ”ฐ...Wananchi tutegemee story za sindano zikirudi tena,,, maana hizo story chanzo chake ni hayo yaliyoelezwa hapo juu. Story zitarudi tena,,, mwamba kashawasha moto ambao ni zaidi ya ule wa kwanza๐Ÿ˜ƒ

JITU LA MAANA KABISA HILI.

ORG

10/01/2025

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›๏ธAL HILAL ๐Ÿ†š YOUNG AFRICANS, CLASH OF TITANS. It's a battle for supremacy. ๐Ÿ’ช๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Anaandika Nellove Da Presenter.

โ—‡Fanya makosa yote na pengine isikugharimu ila epuka sana kufanya kosa la kudhani kwamba Al Hilal S.C atalegeza kamba kwa Young Africans Sports Club siku ya Jumapili kwakuwa tu yeye ameshafuzu. Iepushe akili yako kuwaza hilo,, chunga moyo wako kuamini hilo.

โ—‡Hii mechi pande zote mbili wanaihitaji kuliko yalivyo mahitaji ya kawaida, yale mahitaji ya point 3 muhimu. Zipo sababu kibao kwanini kila timu itahitaji kushinda mchezo huu wa kibabe sana. THE CLASH OF TITANS ๐Ÿ”ฅ

โ—‡Kwa upande wa Al Hilal anazo sababu kadhaa za kuhitaji ushindi..

..Sababu ya kwanza na kubwa zaidi ni kujiwekea mazingira ya kuongoza kundi. Vipi ili asifiwe???? La hasha, kuongoza kundi kuna faida kubwa sana, achilia mbali ile faida na ahueni ya kucheza na timu iliyomaliza nafasi ya pili kwenye makundi mengine pia faida kubwa ni kuanzia ugenini na kumalizia nyumbani zile mechi mbili za Robo fainali. Al Hilal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ atahitaji ushindi ili aongoze kundi na asiposhinda mechi ya nyumbani basi anaweza kupata ugumu ugenini dhidi ya TP Mazembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ na pengine mipango yake ikafeli.

..Sababu nyingine, ni kutaka kuendeleza ubabe.
Itakuwa mara ya nne kukutana tangu mwaka 2022 walipokutana kwenye hatua za awali za CAF Champions League ambapo Al Hilal alifanikiwa kusonga mbele baada ya kumuondoa Yanga SC kwa jumla ya mabao 2-1 kufuatia sare ya 1-1 hapa Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na ushindi wa 1-0 kule Sudan ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ. Lakini mara ya tatu kukutana ni mwaka jana 2024 hatua ya makundi ambapo Al Hilal walishinda mabao 2 kwa 0.

โ—‡Kwa haraka haraka, ndani ya mechi tatu wamefanikiwa kuchukua point angalau moja kwani wameshinda mechi mbili na sare moja. Wakishinda ijayo??? Wameendeleza ubabe. THE BATTLE FOR SUPREMACY ๐Ÿ”ฅ

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›๏ธACHANA NA WASUDANI, KARIBU KWENYE KURASA YA WANANCHI.๐Ÿ”ฐ

โ™กKipigo cha 2-0 kwenye mechi ya kwanza dhidi ya Hilal kilibisha hodi kipindi ambacho upepo mbaya ulishafanya makazi kwenye kasiri la wan

10/01/2025

๐ŸŸฉ๐ŸŸจโฌ›๏ธLEO SAA 4 USIKU MBIVU NA MBICHI ZITAFAHAMIKA.

๐Ÿ”ฐ...Mouloudia Club d'Alger ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ†š ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ TP Mazembe,,,, wanacheza wao ila ni muhimu sana kwetu k**a Yanga Afrika kwani utatoa picha halisi na tathmini ya namna gani tutauendea mchezo wa Jumapili dhidi ya Hilal.๐Ÿ’ช

Bila shaka maombi ya wananchi ni kuona sare tu kwenye mchezo huu.๐Ÿ™

ORG

10/01/2025

Ubashiri wa mtandao wa Africa Soccer zone kuelekea mechi za wiki hii za CAF CHAMPIONS LEAGUE.

wapi wako sahii na wapi yameyumba kwa upande wako?

10/01/2025

Real Madrid imetinga fainali ya kombe la Uhispania (Spanish Super Cup) kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Mallorca kwenye nusu fainali iliyopigwa katika dimba la King Abdullah Sports City (Jeddah)

FT: Real Madrid 3-0 Mallorca
โšฝ๏ธ 63' Bellingham
โšฝ๏ธ 90+2' Valjent (og)
โšฝ๏ธ 90+3' Rodrygo

Real Madrid itachuana na Barcelona kwenye fainali hiyo itakayopigwa Januari 12, 2025 katika dimba la King Abdullah Sports City mjini Jeddah, Saudi Arabia huku Barcelona ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza 4-1 kwenye fainali ya Super Cup 2024 huku Vinicius Jr akitupia Hat-trick.

10/01/2025

Mshambuliaji wa Mashujaa FC, Ismail Mgunda huenda akajiunga na AS Vita ya DR Congo muda wowote kuanzia sasa baada ya kusaini kandarasi ya miaka miwili.

Daniel Lyanga wa JKT Tanzania anatajwa k**a mrithi wa Mgunda ndani ya kikosi cha wazee wa mapigo na mwendo kutoka Kigoma.

ORG

10/01/2025

Umemtambua nani na nani kwenye kikosi hiki cha As Vita ?

ORG

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Dar Es Salaam