Tawi la yanga kitunda

Tawi la yanga kitunda

Share

Ilipo Yanga tupo"

Photos from Young Africans Sports Club's post 28/03/2026
23/03/2026

VIONGOZI WA YANGA SC WANANCHI WANAHITAJI FURAHA MPYA JANGWANI πŸ”°πŸ”°πŸ”°

Najua viongozi wa Yanga SC ni waelewa sana πŸ™Œ

Najua viongozi wa Yanga SC ni watulivu na wenye weledi mzuri kwenye majukumu yao ya timu ya Yanga SC πŸ™Œ

Ukweli ni kuwa nyie viongozi wa Yanga SC ndio mliogeuza simanzi za wananchi wa Yanga SC kuwa furaha kila kona πŸ™Œ

Nyie viongozi ndio mliopambana sana kuleta mataji jangwani na matumaini zaidi na zaidi kwa wananchi Yanga SC πŸ™Œ

Basi ni wakati mwingine tena mzuri ambao wananchi Yanga SC wanahitaji, furaha na burudani kutoka kwenye timu yao ya Yanga SC πŸ™Œ

Kaeni chini vizuri viongozi wa Yanga SC, kisha njooni na furaha mpya kwa mashabiki wa Yanga SC πŸ™Œ

Njooni na ufanisi na ubunifu mpya zaidi ambao utakuja kuleta furaha nyingine kwa wananchi Yanga SC πŸ™Œ

Naimani na viongozi wa Yanga SC, watafanga mazuri mapya mengine kwaajili ya wananchi Yanga SC πŸ™Œ

I'M SOKA SPORTS πŸ’ͺ

23/03/2026

Klabu ya Yanga Sc, imetangaza kumrejesha kocha Abdihamid Moalin kuwa kocha Msaidizi chini ya Kocha Mkuu Pedro GonΓ§alves hatua ambayo klabu hiyo imeeleza kuwa imalenga kutatua changamoto ya kiufundi klabu hiyo inayopelekea kupata wakati mgumu kupata matokeo mazuri na kucheza vizuri.

Taarifa ya leo Machi 23, 2026 iliyotolewa na klabu hiyo na klabu hiyo baada ya kikao cha kufanya tathimini ya timu hiyo baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu msimu huu imeeleza kuwa uongozi WA klabu umegundua uwepo wa changamoto ya kiufundi inayoifanya Timu icheze aina tofauti ya uchezaji (style of play) ile ambayo imezoelekea na kuendana na wachezaji walio ndani ya kikosi.

Kocha Moalin amewahi kuhudumu Young Africans Sc k**a Mkurugenzi wa Ufundi na Kocha Msaidizi katika vipindi tofauti chini ya Kocha Sead Ramovic na Miloud Hamdi na kupata mafanikio makubwa ya kushinda Kombe la Ligi Kuu 2024/2025, Kombe la Shirikisho la CRDB 2025na Kombe la Muungano 2025.

Yanga SC imewaahidi Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu hiyo kuwa, Timu hiyo itarudi mzunguko wa pili ikiwa imara na nguvu kubwa kuelekea kutimiza malengo ya klabu kwa Msimu wa 2025/26, kwa kushinda Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Kombe la Shirikisho la CRDB.

23/03/2026

Karibu Tena Nyumbani

Tukirudi tusilaumianeπŸ”°πŸ’ͺ🏽


17/03/2026

DEPU Mchezaji Bora Ligi Kuu NBC kwa mwezi Februari 2026πŸ”°πŸ™ŒπŸ½


09/03/2026

FULL TIME |

Young Africans SC 7 πŸ†š 1 Police Tanzania


09/03/2026

With Yanga Sc Group of Supporters – I just got recognised as one of their top fans! πŸŽ‰

25/02/2026

Salamu za Mnara ziwafikieeeee πŸ“π†πŸ™ŒπŸ½

25/02/2026

"Kwa bahati mbaya tuna baadhi ya wachezaji wenye majeraha ambao hawakuweza kuja na timu;
β€’ Aziz alipata majeraha kidogo, bado tunaendelea kufuatilia hali yake lakini tuna matumaini si tatizo kubwa.
β€’ Edmond pia ana majeraha aliyopata wiki iliyopita huenda akarejea mazoezini baada ya siku chache.
β€’ Pacome alipata maumivu baada ya kugongana na kipa katika mchezo uliopita, hivyo hayuko katika hali nzuri kwa sasa.
β€’ Kibwana na Mshery pia ni wagonjwa na hakuweza kusafiri.
β€’ Dube alikuwa na tatizo la kiafya wakati wa mazoezi.
β€’ Mzize anaendelea vizuri huku akipata uangalizi wa umakini kabla hajarejea tena kuwa nasi.

Hata hivyo, wachezaji waliopo watafanya kila wawezalo kusaidia timu kupata alama tatu kesho" Coach Pedro


Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address

KITUNDA KATI
Dar Es Salaam