25/07/2026
ππππ πππππππ πππππ π
TOURE Karibu Jangwaniπ°
Ilipo Yanga tupo"
25/07/2026
ππππ πππππππ πππππ π
TOURE Karibu Jangwaniπ°
25/07/2026
π¨ DEAL DONE β
ππ
Klabu ya Young Africans SC imekamilisha usajili wa winga wa kimataifa kutoka Eswatini, Justice Figuareido (27).
Nyota huyo amejiunga na Wananchi kwa mkataba wa miaka miwili, akitokea Chippa United FC ya Afrika Kusini.
Karibu Jangwani, Justice Figuareido! Tunakutakia mafanikio makubwa katika kuitumikia jezi ya Wananchi. ππ
25/07/2026
ππππ πππππππ πππππ π
ππ πππ Albert Kangwanda Karibu Jangwaniπ°
25/07/2026
Mshambuliaji mpya wa Wananchi raia wa Senegal Ibrahima Toure
22/07/2026
Kazi ya Mwakani Tena inaanza rasmi..
Ni vicheko tu
11/07/2026
HUYU HAPA MCHAMBUZI MPYA WA UTENDAJI WA WACHEZAJI WA YANGA SC π° π₯ ποΈ
Yanga SC imefikia makubaliano na kumsajili Yardaan Valodia k**a Performance Analyst chini ya Kocha Mkuu Manqoba Mngqithiππ₯
Makubaliano yote yamekamilika na mkataba umesainiwa ππ₯
Yaardan Valodia ni mwananchi πͺππ
11/07/2026
Safari ya Makombe kwa Kocha wetu mkuu πππ§πͺπ¨ππ ππ§π πͺπ’ππ‘π’ inaendelea hapa
πͺ
11/07/2026
HII HAPA NDIO CV YA KOCHA MPYA WA YANGA SC π° π₯ ποΈ
*Maelezo Binafsi*
*Jina Kamili*: Manqoba Mngqithi
*Tarehe ya Kuzaliwa*: Aprili 25, 1971
*Uraia*: Mswahili wa Afrika Kusini
*Mpangilio Anaoupendelea*: 4-3-3 Washambuliaji
*Kazi ya Ukocha*
*Young Africans SC (2026βSasa hivi)*: Ameteuliwa kuwa kocha mkuu kwa mkataba wa muda mrefu ili kuiongoza timu kubwa ya Tanzania.
*Mamelodi Sundowns (2013β2024)*: Alianza k**a msaidizi wa Pitso Mosimane. Baadaye alihudumu k**a kocha mwenza na kushinda mataji ya ligi, na kwa muda mfupi alikuwa kocha mkuu pekee kabla ya kuondoka Desemba 2024.
*Lamontville Golden Arrows (2007β2010, 2012β2013, 2025β2026)*: Amekuwa nao mara 3. Mashuhuri zaidi aliposhinda Kombe la MTN8 mwaka 2009 baada ya kuichapa Ajax Cape Town 6-0.
*Vilabu vingine*: Amewahi kuongoza vilabu mbalimbali Afrika Kusini k**a AmaZulu na Chippa United.
*Heshima na Mafanikio*
*Kombe la Shirikisho Afrika CAF*: Mshindi (2016) na Mamelodi Sundowns.
*Ligi Kuu ya Afrika Kusini*: Alishinda mataji mengi akiwa kwenye benchi la ufundi la Mamelodi Sundowns.
MTN8: Mshindi (2009) na Lamontville Golden Arrows.
Huyo ndio kocha mpya wa Yanga SC ππ₯π
TANGAZO
Kutakuwa na Kikao cha wanachama wote wa tawi la Kitunda siku ya jumapili saa 4 asubuhi trh 12 July yaani kesho kutwa, utafanyika tawini kitunda maarufu kwa Mama Peter.
Ukiwa mwanachama au sio mwanachama ila mwanayanga ni muhimu kuhudhuria kikao hiki.
Agenda ni moja tuu UCHAGUZI fika bila kukosa,
Mwambie na mwanayanga mwingine.
Nawasilisha π
N.Katibu mkuu
Maelezo zaidi
Mwenyekiti Boaz Ikupilika 0713123017
Katibu mkuu Edwin Rumboyo 0754428931