Afisa habari na mawasiliano wa Shirikisho la Mpira Tanzania TFF Clifford Mario Ndimbo amesema malengo ya Tanzania kwenye mashindano ya AFCON 2025 mwaka huu ni kuchukua kombe.
Ameyasema hayo Leo Disemba 12 akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesisitiza kwamba lengo kuu ni Kombe mambo yasipokuwa mazuri basi tufike kwenye hatua za mtoano.
Mohamed Hussein15
*Off. Facebook Acc. Of Mohamed Hussein Mohamed
*⚽️ @yangasc @taifastars_ 🇹🇿
*MVP🥇2016/2017
*Tanzania best defender🥇 2021/2022
12/12/2025
Tupe tafsiri ya hii picha
Gwiji wa uchambuzi amesema k**a Yanga wangekuwa hawafanyi vizuri Eng Hersi Said wangemjia juu k**a inavyotokea kwa Simba.
Taifa Stars Wakiwa Nchini Misri Kwa Ajili Ya Maandalizi Ya Afcon 2025 Nchini MOROCCO.
11/12/2025
Tuachane na uchabiki wa Simba na Yanga ila tuiombee Taifa
11/12/2025
Tuiombe Taifa Stars
11/12/2025
humu tuu
“Baada ya mchezo dhidi ya Coastal Union, nitoe pongezi kwa wanachama waliojitokeza uwanja wa jamhuri kuunga mkono timu yao. Hamasa ambayo mashabiki waliyotoa waliwaonesha wachezaji kuwa wanaamini hata k**a imebaki sekunde chache bado timu ingeweza kupata bao”
Safari yetu ya jana kutoka Dar hadi NCHINI MISRI KWA AJILI YA KAMBI YA AFCON
10/12/2025
Timu ya Taifa taifa stars imefanya mazoezi kwenye uwanja wa Hoteli ya Jewel, Misri kujiandaa na Fainali za AFCON 2025, Morocco
10/12/2025
Taifa letu💪
09/12/2025
AFCON 2025: Hili hapa 'jeshi' la Kocha Miguel Gamondi litakaloipeperusha bendera ya Tanzania kwenye michuano ya .
Tanzania ipo kundi 'C' linalojumuisha Uganda, Nigeria na Tunisia.
Click here to claim your Sponsored Listing.