Tiki-Taka

Tiki-Taka

Share

karibu katika ukurasa wa Tiki-Taka kwa habari mbalimbali za michezo na uchambuzi

13/03/2026

πŸ˜ŽπŸ‡ΈπŸ‡―Mchezaji wa Bryne Kristian Haaland alipokea masanduku mawili ya matango makubwa k**a zawadi yake kwa kutangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi katika Kombe la Norway.

Msimu uliopita, klabu hiyo iliwatunuku MVPs mwanakondoo aliye hai, mayai mia moja, kilo 500 za karoti, kikapu cha turnips, na rundo la kuni.

Photos from Tiki-Taka's post 19/02/2026

Lionel Messi alikua akimtizama mwanae Ciro alipofanikiwa kutwaa taji la Weston Cup na timu ya vijana wa chini ya miaka 8ya Inter-Miami πŸ˜πŸ™Œ

19/02/2026

Rasmi ligikuu Zanzibar imesimama kwa muda wa mwezi mmoja kupisha ibada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Wachezaji wa timu mbalimbali za ligi hiyo tayari wamepewa likizo.

UTARATIBU WA KITOFAUTI KABISA!

cc :

15/02/2026

Kuoga utaoga ila mjini huendi .

mtaani anachekea chooni mda huu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

11/02/2026

Real Madrid wamefikia makubaliano na UEFA ambayo yatawafanya waondoke kwenye European Super league huku vilabu sifuri vikibaki kwenye mradi huo ❌

kutoka kwa Bleacher Report Football

09/02/2026

huyu kipa anaweza kudaka mpaka matatizo yanayoendelea pale Msimbazi

in English
we don't want muhindi kutudai hela leave me alone πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

08/02/2026

ANAANDIKA HANS RAPHAEL.

Msimu huu kwenye michuano ya CAF Yanga hawana shida kubwa ya ulinzi,Yanga hawana shida ya kutengeneza nafasi,wala hawana shida ya kimbinu ila shida yao kubwa ni kuweka mpira kambani…..Yanga wanakosa sana magoliπŸ€”

Utulivu mbele ya lango ni zero,ni ngumu sana kusonga mbele k**a hutumii vizuri nafasi zako.

07/02/2026

Manchester united wanaendelea kusambaza Dozi huko

Full time 90'

Manchester united 2-0 Tottenham Hotspur

01/02/2026

Mnauhakika kweli hii ni Simba tulioizoea au macho yangu yanaona tu vibaya ....

20/01/2026

amerudi kwao πŸ˜‚πŸ™Œ

18/01/2026

🚨 RASMI: Klabu ya Alnasser Ly SC ya Libya imetangaza rasmi kumsajili mshambuliaji wa Simba, Steven Desse Mukwala k**a mchezaji wao mpya.

15/01/2026

Jean Charles Ahoua amepigwa Bei mapemaaa tu ....

Simba SC hawataki masihara

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Dar Es Salaam