13/03/2026
ππΈπ―Mchezaji wa Bryne Kristian Haaland alipokea masanduku mawili ya matango makubwa k**a zawadi yake kwa kutangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi katika Kombe la Norway.
Msimu uliopita, klabu hiyo iliwatunuku MVPs mwanakondoo aliye hai, mayai mia moja, kilo 500 za karoti, kikapu cha turnips, na rundo la kuni.
19/02/2026
Lionel Messi alikua akimtizama mwanae Ciro alipofanikiwa kutwaa taji la Weston Cup na timu ya vijana wa chini ya miaka 8ya Inter-Miami ππ
19/02/2026
Rasmi ligikuu Zanzibar imesimama kwa muda wa mwezi mmoja kupisha ibada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Wachezaji wa timu mbalimbali za ligi hiyo tayari wamepewa likizo.
UTARATIBU WA KITOFAUTI KABISA!
cc :
15/02/2026
Kuoga utaoga ila mjini huendi .
mtaani anachekea chooni mda huu πππππππ
11/02/2026
Real Madrid wamefikia makubaliano na UEFA ambayo yatawafanya waondoke kwenye European Super league huku vilabu sifuri vikibaki kwenye mradi huo β
kutoka kwa Bleacher Report Football
09/02/2026
huyu kipa anaweza kudaka mpaka matatizo yanayoendelea pale Msimbazi
in English
we don't want muhindi kutudai hela leave me alone πππ
08/02/2026
ANAANDIKA HANS RAPHAEL.
Msimu huu kwenye michuano ya CAF Yanga hawana shida kubwa ya ulinzi,Yanga hawana shida ya kutengeneza nafasi,wala hawana shida ya kimbinu ila shida yao kubwa ni kuweka mpira kambaniβ¦..Yanga wanakosa sana magoliπ€
Utulivu mbele ya lango ni zero,ni ngumu sana kusonga mbele k**a hutumii vizuri nafasi zako.
07/02/2026
Manchester united wanaendelea kusambaza Dozi huko
Full time 90'
Manchester united 2-0 Tottenham Hotspur
01/02/2026
Mnauhakika kweli hii ni Simba tulioizoea au macho yangu yanaona tu vibaya ....
18/01/2026
π¨ RASMI: Klabu ya Alnasser Ly SC ya Libya imetangaza rasmi kumsajili mshambuliaji wa Simba, Steven Desse Mukwala k**a mchezaji wao mpya.
15/01/2026
Jean Charles Ahoua amepigwa Bei mapemaaa tu ....
Simba SC hawataki masihara