Yaliho Jr

Yaliho Jr

Share

Man of people

25/05/2026
20/05/2026

Kaka Milton Tunge

19/05/2026

CHAMPIONS

19/05/2026

AFCON 2027 GROUPS

19/05/2026

: Takriban vifo vya watu 118 vimeripotiwa kutokana na ugonjwa wa Ebola nchini DRC, huku zaidi ya maambukizi 390 yakiripotiwa, kulingana na Shirika la Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC).

Mkurugenzi wa CDC barani Afrika, Jean Kaseya ameonya kuwa hakuna dawa ya kutibu aina hii ya Ebola, na umakini unafaa kuzingatiwa pakubwa na wahudumu wa afya na wakati wa mazishi ya walioathirika na ugonjwa huu.

Visa viwili vya ugonjwa huu vimeripotiwa nchini Uganda, na kisa kimoja cha kifo.

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza ugonjwa wa Ebola kuwa janga la Kimataifa.

Y News

13/05/2026

USIKATE TAMAA KWA SABABU YA ULIPO SASA

Kuna vijana wengi wanateseka kimya kimya.
Wengine wameumizwa kwenye mapenzi, wengine hawana kazi, wengine wanapambana kila siku bila kuona matokeo.

Lakini kumbuka kitu kimoja:

Maisha hayabadiliki kwa siku moja, yanabadilika kwa maamuzi madogo unayochukua kila siku.

Usikubali kushindwa leo kukufanye ujione huna thamani.
Kuanza kidogo sio udhaifu.
Kuchelewa kufanikiwa sio mwisho wa maisha.

Jifunze:

Kuheshimu muda
Kutunza pesa kidogo unayopata
Kuepuka marafiki wanaokuvunja moyo
Kujiamini hata k**a watu hawakuamini

Kuna siku utaangalia nyuma na kujivunia kuwa hukukata tamaa.

12/05/2026

Sometimes we put our effort for public Health

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Kigoma
Dar Es Salaam