Yaliho Jr
Man of people
Kaka Milton Tunge
19/05/2026
CHAMPIONS
19/05/2026
AFCON 2027 GROUPS
19/05/2026
: Takriban vifo vya watu 118 vimeripotiwa kutokana na ugonjwa wa Ebola nchini DRC, huku zaidi ya maambukizi 390 yakiripotiwa, kulingana na Shirika la Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC).
Mkurugenzi wa CDC barani Afrika, Jean Kaseya ameonya kuwa hakuna dawa ya kutibu aina hii ya Ebola, na umakini unafaa kuzingatiwa pakubwa na wahudumu wa afya na wakati wa mazishi ya walioathirika na ugonjwa huu.
Visa viwili vya ugonjwa huu vimeripotiwa nchini Uganda, na kisa kimoja cha kifo.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza ugonjwa wa Ebola kuwa janga la Kimataifa.
Y News
13/05/2026
USIKATE TAMAA KWA SABABU YA ULIPO SASA
Kuna vijana wengi wanateseka kimya kimya.
Wengine wameumizwa kwenye mapenzi, wengine hawana kazi, wengine wanapambana kila siku bila kuona matokeo.
Lakini kumbuka kitu kimoja:
Maisha hayabadiliki kwa siku moja, yanabadilika kwa maamuzi madogo unayochukua kila siku.
Usikubali kushindwa leo kukufanye ujione huna thamani.
Kuanza kidogo sio udhaifu.
Kuchelewa kufanikiwa sio mwisho wa maisha.
Jifunze:
Kuheshimu muda
Kutunza pesa kidogo unayopata
Kuepuka marafiki wanaokuvunja moyo
Kujiamini hata k**a watu hawakuamini
Kuna siku utaangalia nyuma na kujivunia kuwa hukukata tamaa.
12/05/2026
Sometimes we put our effort for public Health
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Dar Es Salaam