30/05/2026
UEFA Champions League
Ni Vita ya mbinu za kispanyora leo ndani ya Budapest nani ataondoka na 🏆 ni Arsenal au PSG - Paris Saint-Germain
Wapambanaji wetu wa kesho �����
30/05/2026
UEFA Champions League
Ni Vita ya mbinu za kispanyora leo ndani ya Budapest nani ataondoka na 🏆 ni Arsenal au PSG - Paris Saint-Germain
30/05/2026
16’ | TFFYL
Young Africans Sc 1 🆚 0 Magnet Fc
⚽️ Moses
30/05/2026
🟩🟨⬛WIKI MBILI BILA KUIONA YANGA UWANJANI ni wiki mbili za moto kwelikweli. Burudani yetu ni Yanga, Yanga ni burudani yetu hivyo kutoiona dimbani kwa muda mrefu ni mtihani mzito mno.
Vipi na wewe ushaanza kuimiss timu yako?
30/05/2026
Mabeki vitasa wa nchi 💚💛🇹🇿🇹🇿
Good morning from this side
30/05/2026
🟩🟨⬛WANANCHI habari za asubuhi 👋
Max na Nkane wanawasalimia 🖐️🖐️🙌💚
Okelooooooooooooo 💚💚💚💚
Hii Ilikuwa Goal ya Ukombozi kwetu Wanainchi 💚💚💚
30/05/2026
Muwe na asubuhi njema💚 💚💚💛
Wanainchi Muhamed Hussein Anawasalimia 💚💚💚🙏
30/05/2026
Hizo point 2 ni sawa na point 10 kwahiyo msijifariji sana hakuna kupoteza point michezo iliyo bakia💪
Come On You Wananchi 🔰🔰
29/05/2026
Huyu ndiye Nahodha Mtanzania mwenye mafanikio makubwa zaidi Tanzania baada ya Mbwana Samatta.
Tubishane… 🙏🙏🙏🙏🙏🙌💚
29/05/2026
🟩🟨⬛LIGI KUU IMESIMAMA kupisha michezo ya kirafiki ya FIFA, mataifa mbalimbali yatakuwa mzigoni kujipima nguvu. Ni wachezaji 7 pekee kutoka Young Africans ambao wameitwa kwenda kutumikia timu zao za Taifa.
🇲🇱Djigui Diarra
🇹🇿Bakary Mwamnyeto
🇹🇿Ibrahim Bacca
🇹🇿Mudathir Yahya
🇺🇬Allan Okello
🇦🇴Laurindo Depu
🇿🇼Prince Dube
Wananchi tuwaombee wapambanaji wetu wote walioitwa, waende salama na warudi salama kwa maana tuna michezo muhimu sana mbele yetu🙏
29/05/2026
🟩🟨⬛NI KITAMBO SANA MCHEZAJI WETU PENDWA, hajanyanyua kombe la Ligi Kuu. Analihitaji saaana na sisi wananchi tunahitaji mno kumuona akilibeba msimu huu.🔥🔥
Wananchi tuendelee kushikamana, tuwe kitu kimoja mpaka mwisho kabisa🤝