Yanga soccer school

Yanga soccer school

Share

Wapambanaji wetu wa kesho πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°

31/07/2026

πŸ”°πŸ”°πŸ”° Kocha anamhitaji beki wa kati raia wa Ivory Coast Farouk, wageni wameshafika idadi au bado?

31/07/2026

πŸ”°πŸ”°πŸ”° Mlinzi wa Kulia wa Yanga SC Yaokouassi Attohoula ameanza safari ya kurejea nchini Tanzania kwaajili ya kuja kujiunga na timu yake ya Yanga SC

Ikumbukwe Yao ni miongoni mwa wachezaji walioongeza mkataba ndani ya kikosi cha Yanga akiwa amesaini kandarasi mpya ya miaka miwili.

31/07/2026

πŸŸ©πŸŸ¨β¬›MWANANCHI! Unaifuatilia timu kubwa ya Young Africans kutokea mkoa gani wa Tanzania? πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ

31/07/2026

πŸ”°πŸ”°πŸ”° Hawa wote hawatakuwa sehemu ya Kikosi Chetu Msimu Ujao Kwahio Tuombe Mungu πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™


31/07/2026

πŸ”°πŸ”° Ila Semaji wetu Anajua kuwakela 🀣🀣🀣🀣

31/07/2026

🚨 DEAL DONE! βœ…

Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji raia wa Congo Brazzaville, Duval Fred Ngoma (27) kwa mkataba wa miaka miwili. βœοΈπŸ‡¨πŸ‡¬

Mchezaji huyo anatarajiwa kutambulishwa rasmi na klabu muda wowote kuanzia sasa.

Karibu Jangwani, Duval Fred Ngoma! πŸ”₯

31/07/2026

Ni Muda wa kuchafuwa hali ya hewa sasa

30/07/2026

πŸ”°πŸ”°πŸ”° Leo nimekutana na tetesi za huyu Mchezaji kutoka Congo πŸ‡¨πŸ‡¬πŸ’₯

FRED NGOMA πŸ‡¨πŸ‡¬βš½

Kiungo mwenye uwezo wa kucheza nafasi ya Defensive Midfielder s

PROFILE YAKE:
πŸ‡¨πŸ‡¬ Taifa: Congo
πŸ“… Kuzaliwa: 24 Novemba 1997
⚽ Nafasi: Kiungo mkabaji / Kiungo wa kati
πŸ“ Urefu: 1.73m
🏟️ Klabu: Olympique Club de Safi

30/07/2026

πŸ”°πŸ”°πŸ”° ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Muda wowote Kuanzia Sasa Yanga watamtambulisha kiungo namba 6 wa Olympique De Safi ya Morocco raia Congo Brazzaville,Fred Ngoma (28).

Tayari nyota huyo amekubaliana na Yanga kila kitu soon ataingia Tanzania kusaini miaka miwili na kutambulishwa kWa Wananchi.

Msimu uliopita nyota huyo alikiwasha sana kwenye kombe la shirikisho Africa.

30/07/2026

πŸ”°πŸ”°πŸ”° SWALI KWA WANANCHI πŸ’šπŸ’›

Kwa mujibu wa tetesi zinazoendelea kusambaa, unadhani ni nani ana nafasi kubwa ya kuvaa jezi namba 6 Yanga?

🟒 Alphonce Mabula
🟒 Feitoto
🟒 Mwingine ?

Toa maoni yako n. πŸ‘‡πŸ”₯

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Dar Es Salaam