Yanga soccer school

Yanga soccer school

Share

Wapambanaji wetu wa kesho �����

30/05/2026

UEFA Champions League

Ni Vita ya mbinu za kispanyora leo ndani ya Budapest nani ataondoka na 🏆 ni Arsenal au PSG - Paris Saint-Germain

30/05/2026

16’ | TFFYL

Young Africans Sc 1 🆚 0 Magnet Fc

⚽️ Moses


30/05/2026

🟩🟨⬛WIKI MBILI BILA KUIONA YANGA UWANJANI ni wiki mbili za moto kwelikweli. Burudani yetu ni Yanga, Yanga ni burudani yetu hivyo kutoiona dimbani kwa muda mrefu ni mtihani mzito mno.

Vipi na wewe ushaanza kuimiss timu yako?


30/05/2026

Mabeki vitasa wa nchi 💚💛🇹🇿🇹🇿
Good morning from this side

30/05/2026

🟩🟨⬛WANANCHI habari za asubuhi 👋
Max na Nkane wanawasalimia 🖐️🖐️🙌💚

30/05/2026

Okelooooooooooooo 💚💚💚💚
Hii Ilikuwa Goal ya Ukombozi kwetu Wanainchi 💚💚💚

30/05/2026

Muwe na asubuhi njema💚 💚💚💛
Wanainchi Muhamed Hussein Anawasalimia 💚💚💚🙏

30/05/2026

Hizo point 2 ni sawa na point 10 kwahiyo msijifariji sana hakuna kupoteza point michezo iliyo bakia💪
Come On You Wananchi 🔰🔰

29/05/2026

Huyu ndiye Nahodha Mtanzania mwenye mafanikio makubwa zaidi Tanzania baada ya Mbwana Samatta.

Tubishane… 🙏🙏🙏🙏🙏🙌💚

29/05/2026

🟩🟨⬛LIGI KUU IMESIMAMA kupisha michezo ya kirafiki ya FIFA, mataifa mbalimbali yatakuwa mzigoni kujipima nguvu. Ni wachezaji 7 pekee kutoka Young Africans ambao wameitwa kwenda kutumikia timu zao za Taifa.

🇲🇱Djigui Diarra
🇹🇿Bakary Mwamnyeto
🇹🇿Ibrahim Bacca
🇹🇿Mudathir Yahya
🇺🇬Allan Okello
🇦🇴Laurindo Depu
🇿🇼Prince Dube

Wananchi tuwaombee wapambanaji wetu wote walioitwa, waende salama na warudi salama kwa maana tuna michezo muhimu sana mbele yetu🙏


29/05/2026

🟩🟨⬛NI KITAMBO SANA MCHEZAJI WETU PENDWA, hajanyanyua kombe la Ligi Kuu. Analihitaji saaana na sisi wananchi tunahitaji mno kumuona akilibeba msimu huu.🔥🔥

Wananchi tuendelee kushikamana, tuwe kitu kimoja mpaka mwisho kabisa🤝


Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Dar Es Salaam