23/05/2026
MVP ajaye
Sport
23/05/2026
MVP ajaye
23/05/2026
📊 TAKWIMU ZA VIUNGO WASHAMBULIAJI 🔥
🟢 Allan Okello (Yanga SC)
⚽ Magoli: 9
🎯 Assists: 7
🔴 Clatous Chama (Simba SC)
⚽ Magoli: 8
🎯 Assists: 6
Wote wanaendelea kuwa muhimu sana kwenye ubunifu na ushambuliaji wa timu zao msimu huu 💫⚽
Je, nani ana mchango mkubwa zaidi kwa timu yake kati ya hawa wawili? 👀🔥
23/05/2026
🚨🚨𝗝𝗨𝗦𝗧 𝗜𝗡: imefichuka kuwa mfadhili mkuu wa Yanga (GSM) ameingilia kati jambo la Bonus za wachezaji kuelekea mwishoni mwa msimu.
GSM amewaahidi wachezaji wa Yanga kupewa Bonus kubwa sawa na ile inayotoka kwenye mechi za CAF Champions League kwenye kila mechi ambayo watashinda ya NBC msimu huu.
Yes! Kuanzia leo wachezaji wa Yanga watapewa Bonus sawa na ile ya mechi za CAF kwenye kila ushindi wa mechi zilizobaki za NBC🤔
GMS anataka matokeo ya ushindi tu na siyo sare wala kupoteza ili kutetea taji la ligi kuu msimu huu.
22/05/2026
Mchezaji Bora wa mwezi April NBC PREMIEL LEAGUE ALLAN OKELLO amekabidhiwa tuzo yake.
05/08/2025
🚨 Official:
Young Africans have unveiled the signing of former Simba captain Mohamed ‘Tshabalala’ Hussein.
🔰
01/08/2025
MVP WA IVORY COAST-ECUA
Klabu ya Yanga imemtambulisha Rasmi Celestine Ecua (Miaka 22) raia wa Ivory Coast, Ecua anajiunga na Yanga akitokea Zoman FC
Ecua amewahi pia kukupiga kwenye Klabu ya Asec Memosa kwa mkopo akitokea Zoman na msimu wake Bora kwenye soka ulikuwa ni msimu wa
LIGI KUU - IVORY COAST
Mechi: 27
Magoli: 13
Asisti: 12
Penalti zilizofungwa: 2
Jumla ya mchango wa magoli (G/A): 25
Mfungaji Bora wa Pili
Mchezaji Bora wa Msimu (MVP)
Ecua alionyesha kiwango cha juu kwa kuchangia karibu kila mechi moja (asilimia 0.93 ya G/A kwa kila mechi), na kuwa mmoja wa washambuliaji hatari zaidi msimu huu.
KOMBE LA SHIRIKISHO LA CAF
Mechi: 5
Alianza: 3
Miguso ndani ya boksi la wapinzani: 19
Shuti kwenye lango: 3
Magoli: 2
A Asisti: 0
Ecua amejiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili hadi 2027🗞️
25/07/2025
Lassine Kouma ni 🟢🟡
Yanga imekamilisha Usajili wa kiungo Mshambuliaji raia wa Mali Lassine Kouma mzaliwa wa 19/May 2004 [21] kutoka klabu ya Stade Malien.
25/07/2025
🚨🚨 JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel 🇮🇱ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.
Alijiunga na Masandawana k**a Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.
Beki huyo anatumia zaidi mguu wa kulia✍️
24/07/2025
Wa kwetu tayari anabaki, 𝐁𝐚𝐝𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐮😂
El Professor Pacome📃🔏
Taarifa kamili tembelea Yanga SC APP📲
24/07/2025
Pacome ataendelea kua kijani na nja o mpaka 2027
23/07/2025
🟩🟨⬛️MFAHAMU KWA UCHACHE SANA MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC, CASEMIRO🔥
🔰...Majina yake matatu aliyopewa na wazazi wake ni Abdulnassir Mohammed Abdallah ila anafahamika zaidi kwa jina la Casemiro kutokana na aina ya uchezaji wake pamoja na ubora wake awapo uwanjani uliopelekea afananishwe na Staa wa Manchester United🔴, Casemiro.
🔰...Kijana huyu mdogo kutoka Zanzibar ambaye ni kiungo mkabaji, alianza kucheza kwenye timu za mtaani kwao kisha baadae alijiunga na timu ya vijana ya Real Kids iliyopo Kikwajuni.
🔰...Baada ya hapo Casemiro alijiunga na mabingwa wa Zanzibar, Mlandege FC🟡 msimu wa 2023/24 na kuisaidia kutwaa ubingwa wa ligi hiyo msimu wa 2024-2025 baada ya kucheza mechi zote 30 bila kukosa hata moja. Hata hivyo, Casemiro alichaguliwa kuwa mchezaji bora kijana kwa msimu wa 2024-2025 🔥🔥🔥
◇Abdulnassir Mohammed Casemiro sasa ametambulishwa kuwa mchezaji wa Young Africans🟢 baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu wa kuwapa furaha wananchi🔥