27/08/2026
Teka la boli linakarbia kufunga ,
Sisi k**a wana simba tunaamini week ijayo tunaamini atafunga hatrik amzidi shalulile"""""""
Street vibe
27/08/2026
Teka la boli linakarbia kufunga ,
Sisi k**a wana simba tunaamini week ijayo tunaamini atafunga hatrik amzidi shalulile"""""""
02/08/2026
AI Mode Β· Type josephcharles jcmaas into the search field Type josephcharles jcmaas into the search field
23/05/2026
MVP ajaye
23/05/2026
π TAKWIMU ZA VIUNGO WASHAMBULIAJI π₯
π’ Allan Okello (Yanga SC)
β½ Magoli: 9
π― Assists: 7
π΄ Clatous Chama (Simba SC)
β½ Magoli: 8
π― Assists: 6
Wote wanaendelea kuwa muhimu sana kwenye ubunifu na ushambuliaji wa timu zao msimu huu π«β½
Je, nani ana mchango mkubwa zaidi kwa timu yake kati ya hawa wawili? ππ₯
23/05/2026
π¨π¨ππ¨π¦π§ ππ‘: imefichuka kuwa mfadhili mkuu wa Yanga (GSM) ameingilia kati jambo la Bonus za wachezaji kuelekea mwishoni mwa msimu.
GSM amewaahidi wachezaji wa Yanga kupewa Bonus kubwa sawa na ile inayotoka kwenye mechi za CAF Champions League kwenye kila mechi ambayo watashinda ya NBC msimu huu.
Yes! Kuanzia leo wachezaji wa Yanga watapewa Bonus sawa na ile ya mechi za CAF kwenye kila ushindi wa mechi zilizobaki za NBCπ€
GMS anataka matokeo ya ushindi tu na siyo sare wala kupoteza ili kutetea taji la ligi kuu msimu huu.
22/05/2026
Mchezaji Bora wa mwezi April NBC PREMIEL LEAGUE ALLAN OKELLO amekabidhiwa tuzo yake.
05/08/2025
π¨ Official:
Young Africans have unveiled the signing of former Simba captain Mohamed βTshabalalaβ Hussein.
π°
01/08/2025
MVP WA IVORY COAST-ECUA
Klabu ya Yanga imemtambulisha Rasmi Celestine Ecua (Miaka 22) raia wa Ivory Coast, Ecua anajiunga na Yanga akitokea Zoman FC
Ecua amewahi pia kukupiga kwenye Klabu ya Asec Memosa kwa mkopo akitokea Zoman na msimu wake Bora kwenye soka ulikuwa ni msimu wa
LIGI KUU - IVORY COAST
Mechi: 27
Magoli: 13
Asisti: 12
Penalti zilizofungwa: 2
Jumla ya mchango wa magoli (G/A): 25
Mfungaji Bora wa Pili
Mchezaji Bora wa Msimu (MVP)
Ecua alionyesha kiwango cha juu kwa kuchangia karibu kila mechi moja (asilimia 0.93 ya G/A kwa kila mechi), na kuwa mmoja wa washambuliaji hatari zaidi msimu huu.
KOMBE LA SHIRIKISHO LA CAF
Mechi: 5
Alianza: 3
Miguso ndani ya boksi la wapinzani: 19
Shuti kwenye lango: 3
Magoli: 2
A Asisti: 0
Ecua amejiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili hadi 2027ποΈ