Ligi ya bongo

Ligi ya bongo

Share

Page hii ni kwaajili ya michezo, ligi kuu ya Tanzania bara

02/04/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Wendrin Mhumbat, Leonard Msenga

11/11/2022

Get well soon Peter

13/07/2022

Klabu ya Kagera Sugar imetangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili golikipa wake Said Kipao.

Here we go🔥🔥

13/07/2022

DEAL DONE✅

Klabu ya Kagera Sugar imemuongezea mchezaji wake Ally Nassoro mkataba wa miaka miwili.

Here we go🔥🔥

12/07/2022

LEO TAARIFA IMETOKA MAPEMA KWAHYO HATUKESHI😀.

Klabu ya Yanga SC 🇹🇿 imetangaza kumwongezea Mkataba Mpya wa Mwaka Mmoja Beki wake wa kati,Abdallah Shaibu 'Ninja' ambapo atasalia Klabuni hapo mpaka mwaka 2023.

12/07/2022

Kiungo wa klabu ya Simba Sc Pape Ousmane Sakho ameanza safari ya kurejea nchini Tanzania tayari kujiunga na klabu yake ya Simba Sc kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.

Here we go🔥🔥

11/07/2022

RASMI : JOYCE LOMALISA NI MCHEZAJI HALALI WA KLABU YA YANGA SC.

Here we go🔥🔥

Photos from Ligi ya bongo's post 11/07/2022

DEAL DONE✅

Klabu ya Yanga Sv imefanikiwa kunasa saini za wachezaji wafuatao.

1.Lazarous Kambole
2.Bernard Morisson
3.Gael Birigimana

Here we go🔥🔥

Photos from Ligi ya bongo's post 11/07/2022

DEAL DONE✅

Mpaka sasa klabu ya Simba Sc imefanikiwa kunasa saini za wachezaji wafuatao.

1.Moses Phiri
2.Habibu Kyombo
3.Victor Akpan
4.Nassoro Kapama

Here we go🔥🔥

11/07/2022

NI YEYE MUTU YA KAZI NASSORO KAPAMA🔥🔥

Deal Done✅

NASSORO KAPAMA IS RED

11/07/2022

DEAL DONE✅

Klabu ya Singida All Big Stars FC 🇹🇿 imekamilisha Usajili wa Golikipa wa zamani wa Klabu ya Yanga SC 🇹🇿 na timu ya Taifa ya Tanzania 🇹🇿,Metacha Mnata kwa Mkataba wa Miaka Miwili akitokea Klabu ya Polisi Tanzania 🇹🇿

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dodoma?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Kilimani Street
Dodoma