Aniseth nicholaustz
mungu mkubwa
16/08/2020
deal done CHRIS MUGALO
23/05/2020
Mshambuliaji wetu kinara na nyota, Meddie Kagere ambaye tayari anefunga mabao 19 kwenye ligi mpaka sasa ameahidi kufunga idadi kubwa ya mabao kila atakapo pata nafasi kwa ajili ya kuipa ushindi Simba.
Kagere ambaye kwa sasa yupo nchini kwao Rwanda kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa homa ya virusi vya Corona amesema anaendelea kujifua binafsi na anaamini ligi ikirejea atakuwa fiti.
Kagere amesema yeye k**a mshambuliaji kazi yake ni moja tu kuhakikisha anafunga ili kuipa ushindi timu na kuwapa furaha Wanasimba.
"Mimi ni mshambuliaji na kazi yangu ni kufunga, nitahakikisha nafunga katika kila nafasi nitakayo pata ili kuipa ushindi Simba. Sio kila siku nitafunga isipokuwa nitahakikisha nafunga kila nikipata nafasi," alisema Kagere
12/02/2020
Kituo kinachofuata ripuli fc
07/02/2020
KIKOSI CHA MAUAJI
07/02/2020
Aya leo ni leo
04/02/2020
mungu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dodoma
61104