Spots News

Spots News

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Spots News, Sports Event, Ifakara, Iringa.

03/04/2026

Takwimu za Jeanine Mukandayisenga Kwenye Ligi Kuu Wanawake Tanzania 2025-26

๐ŸŸ๏ธMichezo 12
โšฝMabao 18
๐Ÿ”ฅ Hat trick 2
โฐDakika 1080

Kinara wa Mabao Yanga Princess
Kinara wa Mabao Ligi Kuu

Neno moja kwa JEANINNE MUKANDAYISENGA๐Ÿ™๐Ÿ”ฐ

18/03/2026

Kikosi cha TRA dhidi ya wananchi

18/03/2026

Kikosi cha Young Africans Sports Club dhidi ya TRA
nani ataondoka mbabe toa maoni yako

26/04/2024

CAF CHAMPIONS LEAGUE

Kikosi Cha Mamelodi Sundowns kinachoanza Didhi ya Esperance de Tunis.

Mechi ni Saa Tatu usiku. Kumbuka mchezo wa kwanza Mamelodi Sundowns alipoteza goli 1-0 akiwa Ugenini.

26/04/2024

Mambo yanaanza kuchangamka si muda, naombeni mnifollow kwa taarifa za uhakika

09/04/2024

WASAUZ KUIBOMOA YANGA! ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Kwa mujibu FARPost, jukwaa la habari za michezo la mtandaoni la Afrika Kusini, wamewataja nyota watano wa Yanga ambao wanazivutia zaidi vilabu vya Afrika Kusini DStv Premiership na pengine wakasajiliwa huko msimu ujao.

Hii ni baada ya Yanga kusimama imara dhidi ya Mamelodi Sundowns katika michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kiasi kulazimika kuondolewa kwa mikwaju ya penalti baada ya dakika 180 za ujumla zisizo na mbabe.

Kwa mujibu wa FARPost, nyota hao watano ni;
1. Djigui Diarra ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ (Golikipa)
2. Stephane Aziz Ki ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ (Kiungo mshambuliaji)
3. Ibrahim Hamad ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (Beki wa Kati)
4. Maxi Nzengeli ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ (Kiungo mshambuliaji)
5. Yahya Mudathir ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (Kiungo)

Yanga kazi ipo

08/04/2024

... ๐Ÿ—ฃ๏ธ "๐—”๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—”๐—ž๐—œ๐—Ÿ๐—œ"

"Mtu anayefurahia Yanga SC kutolewa kwenye robo fainali CAF champions league huyo ana matatizo ya akili"

ยฉ๏ธ Ismail Aden Rage
Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC

Photos from Spots News's post 07/04/2024

SEMI FINAL CAF Champions League
Esperance de tunis vs Mamelod sundown
Tp mazembe vs Ahly

07/04/2024

.ASEC MIMOSA YATOLEWA HATUA YA ROBO KWA PENALTIES
CAF Champions League
๐Ÿšฉ ๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ : Penalty Shootout
ASEC MIMOSAS ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ 2๏ธโƒฃโž–๏ธ4๏ธโƒฃ ESPERANCE ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ
โœ…๏ธ Mofosse โœ…๏ธ Merriah
โŽ๏ธ๏ธ Kouame โœ…๏ธ Bouchniba
โŽ๏ธ Salifou โœ…๏ธ Teka
โœ…๏ธ Pokou โœ…๏ธ Tougai

โœ๏ธ Esperance itacheza na Mamelodi nusu CAFCL

06/04/2024

AMEANDIKA DIARA KWA UCHUNGU MKUBWA.๐Ÿ”ด

๐Ÿ”ต "Ninajivunia hii timu na kundi hili. Tulifanya kila linalowezekana kufikia lengo letu lakini hatukuweza kuyafikia ๐Ÿ˜ข.Kwa mara nyingine tena sisi ni miongoni mwa waliobora ,lazima tuendelee ili kuongeza juhudi zetu mara dufu maana kwa hakika ipo siku furaha tunayoitafuta sana itafika.

Asante sana wanayanga wote kwa sapoti yenu kila siku .

Shukrani kwa Watanzania wote kwa upendo ๐Ÿ™๐Ÿ’–๐Ÿ”ฐ" -DIARRA

06/04/2024

Tp mazembe amefanikiwa kutinga nusu fainali ya Clab bingwa Africa CAF Champions League kwa kumuondoa Petro de luanda kwa matokeo ya (1: 2)
Petro de luanda ambao hawakuruhusu goli katika michezo yote waliyocheza nyuma ikiwa ni michezo saba.
Hongera kwa kunguru weusi TP Mazembe ๐Ÿ’ช

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Iringa?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address

Ifakara
Iringa