09/12/2025
LUIS MIQUISSONE KURUDI SIMBA
Kuelekea dirisha dogo la usajili Januari 2026, Simba SC tayari imefanya mawasiliano ya awali kumrejesha kikosini Luis Miquissone.
Kuna uwezekano mkubwa Joshua Mutale akatolewa kwa mkopo endapo atakuwa tayari ama kuvunjiwa mkataba. Kumpisha Luis.
Kwa nini Miquissone? Kwa Mujibu wa mmoja wa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, ni kwamba walichoangalia kwa kina na wanaona kina mashikoโฆ.
1. Ni fomu yake ya sasa ndani ya UD Songo plus numbers.
2. Pili uzoefu wake Ligi ya Bongo na kuyajua mazingira kwa ujumla. Pia anaujua utamaduni wa Simba.
3. Tatu anatwanga mashindano ya CAF kwa kuwa timu yake haikushiriki tofauti na wachezaji wengi wazuri waishatumika na timu zao ngumu kuwatumia tena msimu huu. Kanuni za CAF zinawabana.
09/12/2025
MANENO YA FADLU DAVIDS BAADA KUISHA KWA MSIMU WA NBC PREMIER LEAGUE 2024/25.
"Mambo mengi yameharibika nje ya uwanja msimu huu na hiyo inatukatisha sana tamaa."- Fadlu Davids.
"Sasa inabidi tukae sisi na viongozi ili kuona k**a malengo yao yanalingana na yangu kisha tuamue jinsi ya kusonga mbele."- Fadlu Davids.
22/10/2025
Mtupatie na pesa za marejesho ili tupate mzuka wa kushangilia zaidi ๐
Ukweli mchungu Tanzania kuna timu moja kubwa Sc Tanzania basi.
21/10/2025
Mmoja alikuja kukata umeme , mwingine akaja kulainisha mchezo na mwingine kumaliza mchezo kwa kamba mbili safi na kufanya wanalunyasi wafurahie pira tattoo/mafegi bila vyeti๐
21/10/2025
DIMITAR PANTEV ๐ฆ
Ujuzi/akili ni bora kuliko vyeti โ๏ธ
19/10/2025
Bila kumkosea heshima Fadlu, Simba walichelewa sana kumpata Pantev
Hili soka ๐ฅ๐ฆ๐ช
19/10/2025
Pale Silver Strikers kuna huyu Mwamba wakuitwa UCHIZI VUNGA ๐ฅ asifananishwe na wale matapeli wa pale jangwani ๐
Kocha la mwaka wa mbele kawa mbuzi wa kafala tu, Yanga ina matatizo mengi sana kwenye uongozi ni vile tu inapata matokeo ndani ya uwanja. Siku siyo nyingi tutayajua madudu mengi.
02/09/2025
U*i wa Mnyama Simba ๐ฆ๐ฅ
09/08/2025
MPINZANI WA SIMBA SC HATUA YA AWALI
Gaborone United ๐ง๐ผv Simba SC ๐น๐ฟ
Mshindi wa Mchezo huo atakutana na mshindi wa
Simba Bhora ๐ฟ๐ผ v Nsingizini Hotspurs
07/08/2025
SIMBA DAY
Simba Sports Club itafanya tamasha lao la SIMBA DAY, siku ya Jumapili ya Septemba 07, 2025.
U*induzi wa jezi mpya za msimu huu wa 2025/2026 unatarajia kufanyika Agosti 25, 2025 wiki mbili kabla ya SIMBA DAY.
31/12/2024
๐จKocha Mkuu wa klabu ya Simba SC, Fadlu Davids ameuambia Uongozi wake kuwa umtafutie Kiungo ambaye atachukua nafasi ya Winga Joshua Mutale
Simba SC imepokea ombi hilo na imeshamueleza Joshua Mutale kuwa kuna mchezaji mpya ambaye wapo wanakamilisha taratibu zote za makubaliano.