02/11/2022
Kwa wale ambao hufanyia mazoez gymnasium(gym), namimi nafanyia mazoezi gym siku hizi. Nakwenda mara 3 mpaka 5 kwa wiki. Kila niendapo natumia lisaa limoja na nusu mpaka mawili na nusu. Lakini pia bado nakimbia mara 4 kila wiki na mara moja kati ya hizo 4 huwa nakimbia umbali usiopungua kilometa 21π€πΏπ€πΏ
24/06/2022
Kukimbia&Mazoezi adidas Running
23/04/2022
Mazoezi na lishe bora.
Kufanya mazoezi mara 3 au zaidi kwa wiki, kula kwa kiasi makundi yote ya vyakula, kunywa maji mengiππ
11/03/2022
Kufanya mazoezi kunahitaji ulaji sahihi ili kufanye kazi vizuri. Usile kupita kiasi ukidai kwamba unastahili kisa tu huwa unafanya mazoezi. Utaishia kuwa fiti peke yake na utaukosa muonekano stahiki kuendana na kiwango cha mazoezi unayoyafanya. Kula mlo kamili kwa kiasi sahihi na epuka kula kula bila sababu au mpangilio
11/02/2022
Ukiachana na afya, kufanya mazoezi kutakupatia muonekano bora kabisa wa mwili wako kuanzia ukiwa hujavaa nguoππ mpaka ukiwa ndani ya mavaziππΏππΏπͺπΏπͺπΏ
28/11/2021
1. Unaruka kamba dk15
2. Unafanya push-ups 30+20
3. Unaruka kichura mara 150
4. Jumping jacks 50
5. Mountain climbers 50
6. Squats 30+20
7. Burpees 30+20
8. Unamalizia na mazoezi aina hata 3 hivi ya tumbo,, mara 20+20+20
30/10/2021
Baadhi ya manufaa ya kukimbia