04/06/2023
Kipa la πππππππ€β½β½π°
Ukurasa huu NI kwajili ya habari za sporting tu
04/06/2023
Kipa la πππππππ€β½β½π°
22/05/2023
Timu ya Wanachi Imeonyesha Niaya kutaka kumsajili Mshambuliaji wa
Nyota Huyo raia wa Afrika Kusina Amefunga mabao 6 kwenye Akilingana na
wa ,__$$$
22/05/2023
24/12/2020
15/12/2020
"Tutakuwa makini kusajili Wachezaji watakaoisaidia timu,wapo Wachezaji ambao tutawatoa kwa mkopo,lakini pia kuna ingizo jipya la Wachezaji,
Injinia Saidi Hersi, dirisha la usajili limefunguliwa leo
Wakati huo huo klabu ya Yanga leo itacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya klabu ya Singida United, Nyota mpya Saidoo Ntibazonkiza atacheza Mchezo huo.
15/12/2020
Mshambuliaji wa Borussia Dortmund Erling Haaland ameshinda Tuzo ya Golden Boy 2020
15/12/2020
Asey jana akichomoa betri Chamazi jioni kabisa
16/04/2020
Kiungo wa zamani wa Barcelona Seydou Keita Ameto msaada wenye thamani ya Pauni β¬45000 katika nchi yake ya Mali,,hii NI katika kupambana na janga la ugonjwa wa Corona ulioikumba dunia,
Ametoa mifuko 611 ya mtama,mifuko 300 ya Sukari na madumu 100 ya mafuta,,
15/04/2020
Arsenal wametenga dau la βΉUro Milioni 43.3 kuhakikisha wanamsajili kiungo wa Atretico Madrid Raia wa Ghana ikiwa pia kiungo huyo mwenye nguvu anatakiwa kwa na vilabu vya Chelsea na Man United,,,,,,,,