Simba Sc

Simba Sc

Share

Simba SC News

13/12/2025

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Julius Chacha, Stanley Mahushi, Sundwa Amos

14/01/2023

Kazi yake si haba

06/01/2023


Kesho Jumamosi kikosi kitaondoka nchini kuelekea Dubai πŸ‡¦πŸ‡ͺ kuweka kambi ya mazoezi.

Kambi hii ni mwaliko kutoka kwa Rais wa Heshima wa Simba, MoMohammed DewjieMohammed DewjiTaarifa zaidi kwenye Simba App.

03/01/2023

πŸ”ΊMALENGO YA KOCHA KUBEBA UBINGWA WA CAF πŸ”Έβ€œNimekubaliana na changamoto mpya. Ukiwaza makubwa unafanya makubwa, malengo ni kufika Nusu Fainali na hata fainali, inawezekana.”

Roberto Oliveira, Kocha Mkuu wa Klabu ya si ya SiSimba SC TanzaniaCSimba SC TanzaniaaSimba SC Tanzania....

03/01/2023

Kocha mpya wa makombe, tunaenda kuuonyesha na tunazidi kuuonyesha ulimwengu kuwa tunavunja mikataba ya makocha kwa sasa, hatuchukui wasiyo kuwa na timu

29/12/2022

Kutoka kwa Maulid kitenge.
Zinaweza zikawa ni habari njema kwetu wana Simba SC Tanzania

TETESI: Aliyekuwa kocha klabu ya Vipers SC, Roberto Oliveira raia wa Brazil huenda akaungana na mshambuliaji wake wa zamani wa Vipers SC na mshambuliaji wa sasa wa Dalian FC, Cesar Manzoki katika klabu ya Simba SC baada ya wawili hao kuhusishwa na Wekundu hao wa Msimbazi.

Kuna ripoti kuwa dili za wawili hao zimekamilika bado kutangazwa tu.

Je Oliveira na Manzoki wataungana huko Simba SC?

29/12/2022

Mkongwe wa soka wa Brazil Edson Arantes do Nascimento Pele amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 82 Sao Paulo Brazil baada ya kusumbuliwa na kansa kwa muda mrefu.

APUMZIKE KWA AMANI MFALME MWENYE HISTORIA YA SOKA DUNIANI
Daima atabaki kwenye historia huyu shujaa wa soka ulimwenguni kote.







25/12/2022

Inonga bado yupo sana πŒπ’πˆπŒππ€π™πˆ 🦁
Waliokuwa wanasema anaenda kwa wale wanaowaliza majirani wabishe na hili, hawezi kutoka kwenye klabu kubwa aende kwenye klabu ndogo k**a hiyo


24/12/2022

Karibu kwa wakubwa wa Afrika mashariki mwamba

24/12/2022

Saido ni Mnyama Rasimi

13/10/2022

"...Ni ngumu sana kushinda ugenini kwenye michuano hii ya Afrika, kikubwa ambacho kimetubeba ni kila mmoja wetu kujitoa zaidi kwa ajili ya timu jambo lililotupa tulichokikusudia. Tuna dakika nyingine 90, mchezo bado ni mgumu hivyo tutacheza k**a hatujashinda Ugenini.”

πŸ”Ž Moses Phiri:
Mshambuliaji wa Simba Sc.






Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address

Dar Es Salaam