02/06/2026
KYC ACADEMY Tunawatakia Mchezo Bora na Ushindi Vijana wa Serengeti Boys Leo dhidi ya Senegal.
Lengo ni kukuza na kuendeleza vipaji vya soka kwa jinsia zote β½π β½.
Kibondo youth center academy sports inapatika mkoani kigoma wilaya ya kibondo mjini kitongoji cha kumwerulo mtaa wa malagarasi uwanja wa shule ya secondary muhabwe π¦
β½π¦
+255749495344
02/06/2026
KYC ACADEMY Tunawatakia Mchezo Bora na Ushindi Vijana wa Serengeti Boys Leo dhidi ya Senegal.
31/05/2026
KARIBU KARAKANA YA VIPAJI π¦
π¦
26/05/2026
KYC ACADEMY TUNAWATAKIA WAISLAM WOTE ULIMWENGUNI KHERI EID MUBARAK ππ¦
26/05/2026
SHORT STORY YA BWANA EAGLE NA MBUZI π¦
π¦
π
π
π
π
π
??π
π
π
π
π
π
25/05/2026
Moja kati ya jina lililo tajwa sana kwenye fainali ya Jana dhidi ya stendi UNITED ni Raphael Daniel kijana Aliye keti chini hapo, Jina maarufu ni SHUNDU umri wa miaka 14 tu...
Jana kacheza Dimba la chini , Kiungo mkabaji, kabla ya mechi kuanza wengi walijiuliza kwani kocha Hana namba 6 mwingine mpaka huyu dogo??
wakilinganisha umbo lake dogo na UMRI dhidi ya viungo wa STENDI UNITED walioonekana kuwa wenye maumbo makubwa na UMRI , lakini kijana alimiliki Dimba , wapinzani hawakutamba kabisa , kijana alitoa somo Kuwa mpira sio UMRI Wala kuwa na miguvu k**a faru , bali mpira ni AKILI na Nguvu kiasi na utimamu wa mwili haupimwi Kwa ukubwa wa umbo Wala UMRI , Bali na Mazoezi πͺπͺ
Taifa tunawatunzia huyu , mje mtudai Kiungo wenu badae ποΈβ½
24/05/2026
WAPINZANI WAMEKUBALI π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
24/05/2026
MNGENIBEBA ππ
π
ππππππ
Ila Ubingwa Raha aseee π
24/05/2026
SISI NI MABINGWA πππππππ
π Kikosi chetu cha KYC Boys under 20 Leo hii kimetwaa ubingwa WA ligi ya AMSHA AMSHA CUP SEASON 3 Hapa kibondo, ligi iliyo anzia hatua ya makundi , Tukaenda Robo Fainali dhidi ya Watumishi fc , tukavuka nusu Fainali dhidi ya JASA FC na kutwaa ubingwa mbele ya Timu ya STENDI UNITED...
24/05/2026
MATCH DAY......πβ½
ποΈUwanja wa TAIFA KIBONDO