Kazi kwanza

Kazi kwanza

Share

Vijana tujitume kwenye kazi zetu

24/06/2025

: “Nimefanya Rotation katika michezo iliyopita, k**a tutashinda kesho tutakuwa Mabingwa bora sana, naona watu wengi wapo kinyume na sisi kwanini tupo hapa, na k**a tutashinda hili kombe tutakuwa mabingwa wazuri Mno” Miloud Hamdi – Kocha wa Yanga

spt

23/06/2025

Maofisa wa mchezo namba 184 wa ya (Young Africans vs Simba SC).



23/06/2025

BODI ya Ligi kuu ya soka Tanzania bara TPLB imetangaza maofisa wa mchezo wa Dabi ya Kariakoo kwenye Ligi Kuu bara kati ya wenyeji Young Africans Sc dhidi ya Simba Sc ambapo mchezo huo namba 184 utachezeshwa na waamuzi kutoka nchini Misri.

Kwa mujibu wa taarifa ya Bodi ya Ligi Kuu (TPLB), Mwamuzi wa kati atakuwa Amin Mohamed Amin Omar kutoka Misri akisaidiwa na Mahmoud Ahmed Abo El Regal k**a Mwamuzi msaidizi namba 1 na Samir Gamal Saad Mohamed ambaye atakuwa msaidizi namba 2.

Ahmed Mahrous naye kutoka Misri atakuwa ‘4th Official’ naye kutoka Misri huku Kamishna wa mchezo huo utakaopigwa Juni 25, 2025 saa 11:00 jioni katika dimba la Benjamin Mkapa akitarajiwa kuwa Salim Omary Singano.

spt🦂

23/06/2025

michezo ya united

06/06/2018
Photos 21/11/2017
Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Kilimanjaro?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address

Old Moshi
Kilimanjaro