Sam Yanga Sc1935

Sam Yanga Sc1935

Share

Young Africans

02/06/2026

๐Ÿ”ถ๐Œ๐–๐ˆ๐’๐‡๐Ž ๐Œ๐–๐€ ๐Œ๐’๐ˆ๐Œ๐” ๐๐ˆ ๐Œ๐€๐€๐๐ƒ๐€๐‹๐ˆ๐™๐ˆ ๐’๐ˆ๐˜๐Ž ๐”๐’๐€๐‰๐ˆ๐‹๐ˆ

๐Ÿ”นYanga wapo kwenye mchakato wa kumsajili beki wa Kushoto wa Singida BS Ibrahim Imoro ambaye atakuja kuchukua nafasi ya Boka ambaye ataachwa mwisho mwa msimu na Imoro atachukua nafasi yake.

๐Ÿ”นYanga wanataka kumaliza Sajili zote mapema ili wawahi kufanya maandalizi ya msimu mpya mapema na wachezaji wazoeana mapema kwa sababu watakuwa na chini ya kocha mpya

NB;Jezi ya njano inampendeza sana huyi bwana mdogo ni vile tu alichelewa kuja Young Africans Sports Club

โœ๏ธ๐‘บ๐‘จ๐‘ด ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ

02/06/2026

Muda wa kazi๐Ÿ”ฐ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ


01/06/2026

๐Ÿ”ถ๐Š๐–๐€๐๐ˆ๐๐ˆ ๐€๐’๐ˆ๐–๐„ ๐˜๐„๐˜๐„ ๐€๐“๐€๐Š๐”๐–๐€ ๐๐€๐๐ˆ

๐Ÿ”นWatu wanatumia nguvu nyingi na makala ndefu kuchanganya nani anastahili kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi May,me huwa nashangaa sasa hata k**a wewe ndo upo kwenye icho kitengezo utampa nani k**a Siyo Star Boy Allan Okello?

๐Ÿ”นOkello ndo mchezaji aliyefunga mechi zote alizocheza mwezi May,Okello ndo mchezaji aliyefunga magoli mengi kuliko wote na Okello ndo mchezaji aliyehusika na magoli mengi kuliko wote sasa utampa nani k**a siyo yeye?

NB;Yule mguu mmoja alijitutua afunge hadi penati lakini wapi ikashindikana

โœ๏ธ๐‘บ๐‘จ๐‘ด ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ

01/06/2026

Mwezi Mkubwa kwa Wananchi๐Ÿ”ฐ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ


01/06/2026

๐Ÿ”ถ๐“๐ˆ๐Œ๐” ๐๐ƒ๐Ž๐†๐Ž ๐๐ƒ๐Ž ๐™๐ˆ๐๐€๐‚๐‡๐„๐™๐€ ๐Œ๐”๐ƒ๐€ ๐‡๐”๐Ž

๐Ÿ”นNilivyoona hii taarifa nimecheka sana Timu ndogo mara nyingi hucheza muda huo ili kuwapa nafasi timu kubwa kucheza muda ambao wafanyakazi wamerudi kazi kuangalia mechi kubwa

NB;Vumilieni tu wadogo zetu chezeni japo mtashinda kirahisi ila mtaungua na jua sana hadi basi

โœ๏ธ๐‘บ๐‘จ๐‘ด ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ

31/05/2026

๐Ÿ”ถ๐Š๐”๐๐€ ๐๐€๐Œ๐๐€ ๐•๐ˆ๐Ž๐๐†๐Ž๐™๐ˆ ๐–๐„๐“๐” ๐–๐€๐‰๐ˆ๐“๐€๐“๐‡๐ˆ๐Œ๐ˆ๐๐ˆ

๐Ÿ”นUjue kuna muda ukiangalia soka la Bongo linavyoendeshwa ndo utajua kweli sisi hatuna viongozi waongoza Soka maana ni Aibu sana kuona hivi vinavyoendelea kwa sasa na hata havileti heshima kwa ligi yetu hata hiyo nafasi ya tano sijui tumeipataje

๐Ÿ”นLigi yetu ni miongoni mwa ligi zenye timu chache (timu 16) k**a ilivyo kwa South Africa lakini sasa inavyoongozwa unaweza sema tuna timu 20 kwa style hii ni ngumu sana kuweza kufanikiwa sana na kufika mbali

๐Ÿ”นLigi ya Africa kusini imeisha na Mamelodi wamefika hadi Fainali sisi Simba Yanga,Azam Fc na Singida tumeishia Makundi ligi bado ipo inaendelea na kumebaki michezo zaidi ya mitatu sasa kwa style hiyo ligi itaendeleaje?

๐Ÿ”นTuchukulie Mfano Tanzania tumefuzu Kombe la Dunia wachezaji wanatakiwa kwenda haya hii ligi ingeachishwa au tungeendelea hivho hivyo na wacheza wa kikosi cha pili?

NB;Hii ligi kuendelea itahitaji viongozi wakubwa sana wanaojua maana ya kuongoza mpira.

โœ๏ธ๐‘บ๐‘จ๐‘ด ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ

31/05/2026

Picha bora sana

30/05/2026

๐Ÿ”ถ๐“๐”๐๐€ ๐Œ๐€๐Ž๐๐Ž ๐˜๐€ ๐Œ๐๐€๐‹๐ˆ ๐’๐ˆ๐’๐ˆ ๐–๐€๐“๐”

๐Ÿ”นNi muda kidogo niliongea hili jambo kuhusu huyu kocha ambaye ndo alitengeneza njia ya mafanikio ya Yanga hivyo ni muda wa yeye kuja kupita kwenye njia yake ambayo ameitengeneza mwenyewe

โœ๏ธ๐‘บ๐‘จ๐‘ด ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ

๐Ÿ”ถ๐Š๐€๐Œ๐€ ๐Š๐”๐๐€ ๐Œ๐“๐” ๐€๐๐€ ๐Œ๐€๐‰๐ˆ๐๐” ๐˜๐€๐๐€๐˜๐Ž๐„๐‹๐„๐–๐„๐Š๐€ ๐€๐’๐„๐Œ๐„

๐Ÿ”นHivi kuna tatazo gani labda Yanga wakafanya Approach ya kumrudisha Nabi kuja kuendelea na Project yake,kwani ni kosa na ukizingatia Nabi kaomba kuondoka mwenyewe hakufukuzwa k**a ilivyo kwa makocha wengine kuna tatizo gani k**a wakisema wamrudishe aje kuendeleza Project ya Young Africans Sports Club ?

๐Ÿ”นReal Madrid waliwahi kumrudisha Zidane saivi wapo kwenye mchakato wakutaka kumrudisha Mourihno kwanini kwa Yanga inakuwa ngumu tutaokota okota makocha hadi lini ambao wanakuja kwa ajili ya kuwapa muda badala kutupa makombe?

๐Ÿ”นBinafsi me naona njia pekee ya Yanga kuweza kurudi pale ilipokuwepo nikumleta kocha ambaye ameifanya ifike pale na huyo so Mwingine bali ni Nabi tofauti na hapo tutahangaika sana kupata makocha wazuri hadi kurudi kwenye ubora wetu

NB;So lazima Nabi hata k**a Gamond inawezekana iwe hivyo akija kukaa na na hawa waliyopo wasaidizi tupo mbali

โœ๏ธ๐‘บ๐‘จ๐‘ด ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ

29/05/2026

๐Ÿ”ถ๐‡๐ˆ๐‹๐ˆ ๐‹๐ˆ๐๐€๐“๐ˆ๐’๐‡๐€ ๐’๐€๐’๐€ ๐Š๐–๐€ ๐–๐€๐๐ˆ๐๐™๐€๐๐ˆ ๐–๐„๐“๐”

๐Ÿ”นChanzo changu kimenambia Young Africans Sports Club wapo kwenye mazungumzo na Fiston Mayele ili kuweza kumrudisha mwisho mwa msimu baada ya mkataba wake na Pyramid kumalizika hivyo Mayele ni Free Agents hivyo Yanga wanapambana kumshawishi Mayele asiende Saudia

๐Ÿ”นHili sasa litakuwa Janga la Ligi yetu k**a Yanga watafanikiwa kumsajili Mshambuliaji huyu,na kinachofanyika siyo kwamba Yanga wana pesa nyingi sana kuliko Saudia ila ushawishi ndo utafanya hivyo

NB;Habari ambazo makolo hawataki kuzisikia ni pamoja na hizi za Mayele na Aziz Ki kurudi Yanga

โœ๏ธ๐‘บ๐‘จ๐‘ด ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ

29/05/2026

๐Ÿ”ถ๐Š๐”๐Œ๐๐„ ๐”๐Š๐ˆ๐™๐„๐„๐Š๐€ ๐€๐Š๐ˆ๐‹๐ˆ ๐™๐ˆ๐๐€๐๐”๐๐†๐”๐€ ๐Š๐€๐๐ˆ๐’๐€

๐Ÿ”นUnatumia Kigezo gani kumfananisha Aziz Ki na Chama tena unasema Aziz Ki hafiki hata nusu ya ubora wa Chama kwa kutumia kigezo gani cha mguu mmoja mdogo na mkubwa au kulinganisha Umri wake au miaka waliyocheza Ligi ya Tanzania?

๐Ÿ”นMtu mwenye akili timamu unawezaje kusema mtu ambaye ashawahi kuwa Top Scorer hafiki hata nusu ya Ubora wa mchezaji ambaye hajawahi kufunga hata goli 10+,Kiungo ambaye amewahi kuchukua Tuzo ya Top Scorer,MVP na Kiungo bora msimu hamfikii hata nusu mtu ambaye hajawahi kuwa hata top scorer wa timu yake?

๐Ÿ”นMchezaji ambaye ana mwaka sasa anacheza Ligi za Kiarabu unasema hafikii nusu ya ubora wa mchezaji ambaye ameshindwa kucheza hata 10 kwenye nchi ya kiarabu na kurudi nyumbani?

๐Ÿ”นAina ya viungo k**a Aziz Ki ni wache sana Duniani siyo Tanzania narudia tena Duniani ni viungo wachache wanaweza kukupa Goli 20+ kwenye Msimu mmoja tafuta k**a utapata Duniani wafikia hata 5

NB;Msiwasikilize wazee ambao akili zao pia zimeanza Kuzeeka ndo maana huwa sisikilizi wachambuzi ambao wana timu zao

โœ๏ธ๐‘บ๐‘จ๐‘ด ๐’€๐‘จ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Korogwe?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address

Tanga
Korogwe