SOKA TZ IS BACK
Soka Tz
michezo,burudani na taarifa za dharura
10/01/2022
Mapinduzi cup.
kikosi cha azam vs yanga
10/01/2022
Mapinduzi Cup.
kikosi cha yanga vs azam.
10/01/2022
Usajli.
Mshambuliaji wa zamani wa yanga na simba mganda hamiis kiiza amejiunga na kagera sugar
10/01/2022
Mapinduzi Cup. 10/1/2022
Nusu fainali ya pili nii..
Namungo vs Simba saa 2:15 usiku.
nani kutinga fainali?
10/01/2022
Mapinduzi Cup.10/1/ 2022
nusu fainali ya kwanza nii...
Azam vs Yanga Saa 10:15 jioni.
Nani kutinga fainali?
24/09/2021
Benchi la ufundi la yanga
Nabi-kocha mkuu
Cedric kaze-kocha msaidizi
Mwinyi zahera-mkurugenzi wa ufundi wa soka la vijana.
24/09/2021
Kaze is back.
Rasmi cedric kaze ametambulishwa kwa mara nyingine tena yanga.
10/09/2021
Tanzia.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa simba zacharia hanspop amefariki dunia usiku huu.
17/08/2021
Haruna niyonzima alipokua akiagwa yanga sc aliomba jezi yake namba 8 apewe zawadi mauya lakini kwa sasa jezi hiyo itavaliwa na mganda Khalid Aucho.
17/08/2021
simba sc haikusafiri na yusufu mhilu kwenda moroco.
yusufu mhilu bado anamkataba na kagera sugar.
usajili wa caf ulifungwa aug 15
kagera sugar wanataka 220m ili wamuachie yusufu mhilu.
13/08/2021
jesus moloka.
yanga imemsajili winga wa A.S VITA CLUB jesus moloka kuja kuziba pengo la Tuisila Tuisila kisinda.Tuisila kisinda.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Telephone
Website
Address
Manyara