SOKA TZ IS BACK
Soka Tz
michezo,burudani na taarifa za dharura
10/01/2022
Mapinduzi cup.
kikosi cha azam vs yanga
10/01/2022
Mapinduzi Cup.
kikosi cha yanga vs azam.
10/01/2022
Usajli.
Mshambuliaji wa zamani wa yanga na simba mganda hamiis kiiza amejiunga na kagera sugar
10/01/2022
Mapinduzi Cup. 10/1/2022
Nusu fainali ya pili nii..
Namungo vs Simba saa 2:15 usiku.
nani kutinga fainali?
10/01/2022
Mapinduzi Cup.10/1/ 2022
nusu fainali ya kwanza nii...
Azam vs Yanga Saa 10:15 jioni.
Nani kutinga fainali?
24/09/2021
Benchi la ufundi la yanga
Nabi-kocha mkuu
Cedric kaze-kocha msaidizi
Mwinyi zahera-mkurugenzi wa ufundi wa soka la vijana.
24/09/2021
Kaze is back.
Rasmi cedric kaze ametambulishwa kwa mara nyingine tena yanga.
10/09/2021
Tanzia.
Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa simba zacharia hanspop amefariki dunia usiku huu.
17/08/2021
Haruna niyonzima alipokua akiagwa yanga sc aliomba jezi yake namba 8 apewe zawadi mauya lakini kwa sasa jezi hiyo itavaliwa na mganda Khalid Aucho.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Telephone
Website
Address
Manyara