Soka Tz

Soka Tz

Share

michezo,burudani na taarifa za dharura

17/09/2024

SOKA TZ IS BACK

10/01/2022

Mapinduzi cup.

kikosi cha azam vs yanga

10/01/2022

Mapinduzi Cup.
kikosi cha yanga vs azam.

10/01/2022

Usajli.

Mshambuliaji wa zamani wa yanga na simba mganda hamiis kiiza amejiunga na kagera sugar

10/01/2022

Mapinduzi Cup. 10/1/2022
Nusu fainali ya pili nii..

Namungo vs Simba saa 2:15 usiku.
nani kutinga fainali?

10/01/2022

Mapinduzi Cup.10/1/ 2022
nusu fainali ya kwanza nii...

Azam vs Yanga Saa 10:15 jioni.

Nani kutinga fainali?

24/09/2021

Benchi la ufundi la yanga

Nabi-kocha mkuu

Cedric kaze-kocha msaidizi

Mwinyi zahera-mkurugenzi wa ufundi wa soka la vijana.

24/09/2021

Kaze is back.

Rasmi cedric kaze ametambulishwa kwa mara nyingine tena yanga.

10/09/2021

Tanzia.

Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa simba zacharia hanspop amefariki dunia usiku huu.

17/08/2021

Haruna niyonzima alipokua akiagwa yanga sc aliomba jezi yake namba 8 apewe zawadi mauya lakini kwa sasa jezi hiyo itavaliwa na mganda Khalid Aucho.

17/08/2021

simba sc haikusafiri na yusufu mhilu kwenda moroco.

yusufu mhilu bado anamkataba na kagera sugar.

usajili wa caf ulifungwa aug 15

kagera sugar wanataka 220m ili wamuachie yusufu mhilu.

13/08/2021

jesus moloka.

yanga imemsajili winga wa A.S VITA CLUB jesus moloka kuja kuziba pengo la Tuisila Tuisila kisinda.Tuisila kisinda.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Manyara?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address

Kondoa Irangi
Manyara