21/04/2024
Raunds ya kwanza ya nusu fainali ya klabu bingwa Mamelod aangukia pua
Michezo ni afya na michezo ni ajira..
21/04/2024
Raunds ya kwanza ya nusu fainali ya klabu bingwa Mamelod aangukia pua
21/04/2024
BENCHIKHA: CV YANGU INAHARIBIKA
"Tangu nimeanza kufundisha mpira sikuwai kukutana na timu yenye wachezaji wagumu kuelewa k**a hii simba timu inacheza tofauti kabisa na matakwa yangu"
"Nitaongea tena na viongozi wangu k**a nitakubaliwa kuunda timu yangu upya msimu ujao ili niandae list yangu ya wachezaji nitakaoweza kuunda timu bora Africa ila k**a watashindwa kukubaliana na mimi basi watambue kuwa CV yangu sijaitengeza na pesa nashuka CV yangu kila kukicha naweza kufanya maamuzi sahihi"
My name is Castro Yanga New
20/04/2024
Kikosi kinachoanza dhidi ya Simba
31/07/2023
KUTOKA AVIC TOWN: Huyu ni Mshambuliaji mpya wa Yanga SC, Hafiz Konkoni ๐ฌ๐ญ ameanza kujifua na wananchi kwaajili ya msimu wa 2023/2024.
Unatarajia nini kutoka kwa mshambuliaji wa mabao?
25/07/2023
DEAL DONEโ
KAZE โก๏ธโก๏ธ NAMUNGO
25/07/2023
HII IMEENDA.
๐ฅ๐ฅ
25/07/2023
๐ธ..WATAALAMU WA SHERIA WANASEMA...
Mwanasheria wa Yanga SC Simon Patrick kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika
"Kanuni ya 62 (4) - Kanuni za Ligi Kuu, Toleo la mwaka 2022 inasema;
โMchezaji wa kigeni anayeruhusiwa kusajiliwa kwenye Ligi Kuu ni yule anayecheza katika timu ya Taifa ya nchi yake au Ligi Kuu ya nchi husika.
Mchezaji kutoka Amerika ya kusini na Ulaya, lazima awe anacheza angalau kuanzia Ligi Daraja la Tatu (Kitaifa, kutegemea mfumo kwa nchi husika).
Mazingatio ya Daraja mchezaji analocheza kabla ya usajili wake kwenye Ligi ni kwa wakati husika au kipindi kisichozidi miezi sita tokea ameachana na timu yake ya mwisho kwa mchezaji aliye huruโ Mwisho wa kunukuu..
Sasa k**a mchezaji katoka kwenye Ligi ya Mkoa au Ligi daraja la 4 huko Amerika ya kusini, usajili wake utakuaje hapa nchini? Naombeni kuelimishwa๐".
25/07/2023
๐ธ..RASMI SAKHO ATUA UFARANSA..
Pape Ousmane Sakho, mchezaji wa kimataifa wa Senegal mwenye umri wa miaka 26, anajiunga na QRM hadi 2026! Akitokea Simba sports club ๐ !
25/07/2023
TAKWIMU BOMBA....
Timu zilizokusanya points nyingi zaidi kwenye michuano ya CAF 22/23.
1. ๐
ฟ๏ธ 30 โ ๐ช๐ฌ Al Ahly
2. ๐
ฟ๏ธ 25 โ ๐ฒ๐ฆ Wydad Casablanca
2. ๐
ฟ๏ธ 25 โ ๐ฉ๐ฟ USM Alger
3. ๐
ฟ๏ธ 20 โ ๐น๐ฟ Young Africans
4. ๐
ฟ๏ธ 20 โ ๐ฟ๐ฆ Mamelodi Sundowns
5. ๐
ฟ๏ธ 20 โ ๐น๐ณ Esperance
โ Muda k**a huu msimu uliopita Young Africans SC walikuwa wa (78) kwenye viwango vya CAF wakiwa na points 0.5.
โ Baada ya msimu (1) Yanga wanesogea kutoka nafasi ya (78) hadi (18) wakiwa na points (20). Klabu ya Simba SC imesogea kutoka nafasi ya (10) hadi (9) wakiwa na jumla ya points (35). Anayeongoza Al Ahly ๐ช๐ฌ yeye ana jumla ya points (83).
๐๐ค๐ฉ๐ โ Viwango vya (CAF) hupangwa kwa kuzingatia performance ya timu husika ndani ya misimu (5) kwenye michuano ya (CAF).
โ Simba SC wamekusanya points (35) katika misimu hiyo (5) na kukaa nafasi ya (9). Huku Yanga wakikusanya points (20) katika msimu (1) 22/23 pekee na kukaa nafasi ya (18).
Misimu (4) iliyopita Young Africans hawakufanya vizuri kwenye michuano ya CAF, hawakupata points that's why wanabaki na points (20) walizozikusanya 22/23.
โ Baada ya kupata points (20) 22/23, kwa mara ya kwanza Young Africans wamezipita klabu zifuatazo kwenye viwango vya CAF.
๐จ๐ฎ ASEC Mimosas
๐น๐ณ Etoile du Sahel
๐ฉ๐ฟ ES Setif
๐จ๐ฒ Coton sports
๐ฟ๐ฆ Marumo Gallants
๐ฟ๐ฆ Kaizer Chiefs
๐จ๐ฉ AS Vita
๐ธ๐ฉ Al Merriekh
๐ช๐ฌ Al Masry
๐น๐ณ US Monastir
๐ฒ๐ฆ FAR RABAT
๐ณ๐ฌ Enyimba
๐ฉ๐ฟ MS Alger
etc ......
๐๐ฝ โ Unadhani msimu huu 23/24 Young Africans SC wataongeza points ngapi
23/07/2023
KACHAPWA BHAN๐๐
Mandonga kachapwa bhana
Bondia wa Tanzania, Karim Mandonga โMtu Kaziโ amekubali kichapo dhidi ya Bondia wa Kenya, Daniel Wanyonyi kwa pointi zote za majaji katika pambano la marudiano lililopigwa Sarit Center Expo jijini Nairobi usiku wa Jana Jumamosi, Julai 22,2023.
Wanyonyi alilipiza kisasi dhidi ya Mandonga katika pambano hilo lisilo na ubingwa licha ya Mtu Kazi kuja na kipigo kipya alichokibatiza kwa jina la 'Kingukiโ kutoka Urusi lakini alishindwa kufua dafu mbele ya Mkenya huyo aliyemlambisha chini mara mbili katika raundi ya 6 na 10.
โ Januari 12 2023 Mandonga alimchapa Wanyonyi kwa TKO katika pambano la kwanza la uzito wa kati lisilo la ubingwa lililopigwa KICC Jijini Nairobi.
Cc. Kitenge sports