13/04/2013
Hii ndioooo channel Leo
CHANNEL AFRICA FOOTBALL CLUB NI KLABU YA MPIRA WA MIGUU INAYOPATIKA KIRUMBA WILAYA YA ILEMELA JIJINI
13/04/2013
Hii ndioooo channel Leo
Channe Africa fc na udc fc Leo uwanja wa nyagana ligi ya mkoa mwanza saa 10:30 jioni tarehe 13/04/2012
12/04/2013
Tuna tumia uwanja huu ligi ya mkoa wa mwanza kz kweli kweli
KATIKA ILE HALI YA KUIFANYA CHANNEL F.C IENDELEE KILA SIKU TUMEFUNGUA PAGE MPYA AMBAYO ITAKUWA IKIWAHABARISHA JUU YA MWENENDO MZIMA WA KLABU HII,TUNAOMBA USHIRIKIANO WENU....CHANNEL AFRICA F.C PAMOJA DAIMA