madayu_yanga1935

madayu_yanga1935

Share

1.HABARIKA KISOKA KUTOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA.🌍
2. FOOTBALL PUNDIT/MCHAMBUZI.⚽️
3. NEWS ANCHOR πŸ“°

23/11/2025

K**a mlivyosikia...

Mpaka waseme Logo ya CAF Wameitoa wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

**ashariki

23/11/2025

is

23/11/2025

Kikosi cha petro atico de luanda vs simba sc

23/11/2025

Kikosi cha simba Vs petro atico de luanda fc

22/11/2025

TUNAENDA LUNCH NA DINNER KIDOGO WAKITUJIBU MTUTAGI.... Haha55 😁😁😁😁

Asa mbona wachambuzi walikaza shingo na fuvuvu kuzichambua JEZI hizi?????.....

Note; Ni ngumu sana kuitetea simba sc katika hili....

**ashariki

22/11/2025

Imagine being prince DUBE

**ashariki

22/11/2025

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„ : CAF Champions League

YOUNG AFRICANS SC πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 1οΈβƒ£βž–οΈ0️⃣ FAR RABAT πŸ‡²πŸ‡¦
⚽️ 58" Dube

πŸ”»

MAMELODI SUNDOWNS πŸ‡ΏπŸ‡¦ 3οΈβƒ£βž–οΈ1️⃣ FC LUPOPO πŸ‡¨πŸ‡©
⚽️ 04" Santos ⚽️44" Wanet
⚽️ 61" Allende
⚽️ 78" Santos

**ashariki

22/11/2025

HT: yanga 0-0 as far Rabat

22/11/2025

Kikosi cha Yangasc Vs as far Rabat

Photos from madayu_yanga1935's post 21/11/2025

HAKIKA WACHAMBUZI WA SOKA WALIO WENGI HAPA TANZANIA WANATUMIWA NA MAPACHA WA KARIAKOO K**A MACHAWA...... Haha55 😁😁😁😁

1. Juzi Yanga wamezindua JEZI zao zitΓ kazotumika 'lakini wachambuzi wengi sana wamezichambua hizo JEZI za YANGA na kuzi Disvalue kuwa hazina ubora na wamekopi kutoka JEZI za Timu ya Taifa ya Brazil mwaka 2004, wengine wakaenda mbali zaidi wazifananisha na mfuko wa NJANO wa sukari ya kagera sugar. (Wachambuzi wanailinda simba )

2. Jana simba wamezindua nao JEZI zao za kimataifa, kwa kuweka logo za ktk JEZI wanazotumia Ligi kuu Tanzania BARA .. lakini wachambuzi haohao walioponda ubora wa JEZI za YANGA ndo wanasifia JEZI za simba ambazo ni zile zile za ligikuu

3. Wengine wakaenda mbali zaidi wanazilinganisha JEZI mpya za YANGA Africans sc na zile za simba sc ambao hawajatoa jez mpya zaidi ya kubadili logo ya mdhamini na logo ya CAF. Bidhaa mpya inashindanishwaje ña Bidhaa kuku? Haha55 😁😁 (Wachambuzi wanatetea simba kutotoa JEZI mpya za )

4. Wengine wakaja na maandiko k**a GAZETI kwa kuelezea kuwa kampuni hizi; 1. Nike, 2. Puma 3. Adidas n.k huwa hazitoagi JEZI mara mbili ndani ya msimu (hapa wachambuzi wanatetea simbasc) Haha55 😁😁😁

5. Wengine wakasema wanawapa nafasi mashabiki wasiopenda uwepo wa logo ya udhamini wa PILSONER k**a KILEVI Kwene JEZI za simba sc za Ligi kuu Tanzania BARA ... Haha55 😁😁

6. Wengine vilabu vikubwa Duniani havitoagi JEZI JEZI mbili kwa msimu? But kwanini Barcelona wametambulisha JEZI mpya ya pili hapo juzi kati??? ... hizi agenda hazina mashiko sababu Timu zetu zinaongozwa na mapato yatokanayo na mauzo ya JEZI. ....... Haha55 😁😁😁

NOTE; WACHAMBUZI WANATUMIA NGUVU KUBWA KUITETEA SIMBA ILE HALI WAMEKOSEAAA..... ALINUKULIWA MSEMAJI WA SIMBA AHMED ALLY AKIWAAMBIA WANACHAMA NA MASHABIKI WA SIMBA WAAANDAE ORDER YA JEZI MPYA ZA

HONGERENI SANA WANANCHIIIIIIIIIIIII YANGA AFRICANS SC KWA KUZINDUA JEZÌ MPYA ZA

**ashariki

21/11/2025

KUSEMA UKWELI SIO DHAMBI BALI NI UKOMAVU...

"Nikiwa zangu huku mbali bado ninafuatilia mijadala kuhusiana na Jezi za kimataifa kwa timu zetu pendwa na pasua kichwa hapo Bongo..

Ni ukweli usiopingika kuwa siku za karibuni kumekuwa na utamaduni wa kuzindua jezi katika awamu mbili endapo timu itafuzu kucheza hatua ya makundi katika michuano ya Afrika iwe klabu Bingwa au kombe la Shirikisho..

Yanga walianza na kutangaza watazindua siku ya Jumatano huku Simba wao wakizindua Alhamis hii.

Achana na ubora au nani katoa jezi kali ni kawaida kuona ushindani uliojaa utani ndani yake lakini hili la kuzindua jezi ile ile na kuamua kubadili logo na wadhamini halipo sawa na haliwezi kupata utetezi wa kiwango cha lami kutoka kwa wazee wa kutembelea fursa kwani kufanya hivyo ni kujichoresha na kujipunguzia hadhi kuliko pitiliza.

Nimeona watu wakijaribu kuhamisha upepo eti Mdhamini aliyepo huwa anatoa jezi moja tu kwa msimu! Haya tufanye ni sawa, sasa kwanini mlitangaza kutakuwa na uzinduzi wa Jezi za Michuano ya kimataifa? Au ni uzinduzi wa Nembo ya CAF kukaa begani na kumtoa Mdhamini wa awali na kuweka mpya? is it serious?

Mliposema wafanyabiashara waweke order mlisahau kuwa jezi ni zile zile ambazo bado zipo madukani zikisota kununuliwa?

Sasa fikiria mtu alikuwa na mzigo wa mwanzo ambao haujakata na tayari umemtangazia alipie mzigo mpya, analipia kumbe unaenda kumuongezea mzigo ule ule ambao anapambana nao kuumaliza walao arudishe pesa ya mtaji,Je kwa hili ni sawa? na bado wapo wanaotetea hili haumuoni mnategeneza mahusiano mabaya na kupoteza kuaminika kutoka kwa wateja wenu wa jezi za jumla.?

Ngoja niwaambie kitu sio kila wakati ni kutafuta pa kujifichia wakati mwingine kuweni wakweli ili k**a kuna changamoto mzitatue ili timu isonge mbele na kwa wale mnaoendekeza maelekezo kwa kujipatia ujira jitahidini kuwaza na kesho kwani njaa ipo tu haiishi mpaka siku tunarudi kwa aliyetuumba..

Katika hili mmepuyanga sana ni vema mkatoka na kuomba radhi kwa wafanyabiashara,mashabiki wenu na wadau wote wa Soka."

Ameandika Mchambuzi wa soka kupitia ukurasa wake wa Instagram

19/11/2025

TUZO ZA CAF 2025

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga , Clement Mzize ametwaa tuzo ya goli bora la mwaka 2025 barani Afrika .

Mkwaju wa mbali ambao alimtungua golikipa wa klabu ya TP Mazembe .

Hongera sana πŸ’ͺ🏿πŸ”₯ .. hii umeua baba.

NOTE; πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Hili goli la mwaka CAF CHAMPIONS LEAGUE 2025, sio CAF Confederation cup ..Haha55 πŸ‘πŸ‘πŸ˜πŸ˜

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mwanza?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address

Mwanza