03/09/2026
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Yamie Wa Anamoyo Chisoni, Ata Mata, Pembe Shabani, Charles Marwa, Adenias Crian, Daniell Mbawala, Nezia Hedimeni Enelesit, Ndagabwene Manyasi, Ezekiel Dominicus, Ezeking Janser, Fadhil Mtenga, Chifu Mkanj, Mboleka Sadi, Ni Collo, Aman Mbwambwo, Salafina Elisha, Issa M Sinai, Abuu Omaliy, Deej Marley Ke, Nancy Nyamboke, Hadja Happy, Kashinje John, Rahimu Athman, Ninziza Theogene, Boonii Wallaggaa, Cyprian Damian
03/09/2026
๐จUnaingia mtandaoni na stress za mwenye nyumba na madeni ya mangi,
Ghafla tu unakutana na utambulisho wa jezi, kutoka kwa Fabrizio Romano.
Ujeuri tu wa Wananchi na kujiamulia mambo,
Kwa miaka yangu michache ya kuishi duniani, natambua Yanga Wana sifa tatu..
1. Exclusivity, kwao habari hazivuji k**a nyumba yenye wapangaji walevi,
Utajua wanachotaka ujue, kwa muda wao.
2. Creativity, kwao ubunifu ni Kila kitu, wewe ukitegemea watatambulisha Jezi na mamodo wa Sinza, wao wanavuka mpaka kwa Fabrizio Romano, Ubunifu.
3. Misifa ujeuri na kukera, Jezi kali, utambulisho wa kutisha, afu wanaiba attention yote ya social media.
Yanga, Club above All๐๐๐ฅโก
Hii ni hatari sana wakuuu โ
๐
Nb; Ni vile tu hamtaki kuambiwa ukweli kuwa hii timu inakwaza
31/08/2026
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC baada ya michezo ya leo.
Wananchi, k**a kawaida yao, wameendelea kusalia kileleni.
31/08/2026
Ni ndoto ya kila mshambuliaji Tanzania kucheza na Aziz Ki.
Kila mshambuliaji anahitaji huduma na malisho bora na miguu ya Aziz imebarikiwa huo utajiri.
Vision,quick-thinking,timing ya kuachia pasi na Good Positioning awareness vinamfanya Aziz kuwa tishio uwanjani.
Mechi ya kwanza tayari Shasha amenufaika na assist ya Aziz Ki.
Bado hayuko sawa kwa 100% ila assist zimeshanza
Wakati umefika kushuhudia combo ya shashaman na Mr Ki
27/08/2026
Top 20 weekend tipsโ
๐๐ฅ
27/08/2026
Aziz Bado tusubiri kumwona baada ya mechi mbili.