The magic of CR7 the ๐
SOKA kitaani
sports updates, betting (2_5)odds
Taarifa za soka ,mikeka odds 2_5
22/05/2026
FAMILIA YA KWELI!
โFamilia ya Ronaldo inaendelea kuishi maisha ya kipekee zaidi katika maisha yao yote.
โWengi waligundua kuwa mama mzazi wa Cristiano Ronaldo hakuwepo kwenye sherehe hizo pamoja na mwanae; sababu ni kwamba alisafiri hadi Ureno kwenda kumuunga mkono mjukuu wake, Cristiano Ronaldo Jr, ambaye kwa mara nyingine tena amefunga goli la ushindi akiwa na timu ya taifa ya Ureno.
โWakati huohuo kule Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo alikuwa akisherehekea taji lake la kwanza la Ligi akiwa na watoto wake wengine pamoja na Georgina. Nyuso za furaha za baba na mwana zinasema kila kitu. Msimu ujao tunaweza kushuhudia wawili hawa wakichangia uwanja mmoja.
โWAPO KARIBU SANA KUTIMIZA NDOTO YAO.
Yanga wakijaindaa baada ya mapumziko ya siku mbili๐๐๐ฅ
๐๐๐
๐๐คช
19/05/2026
...ligi kuu la England EPL leo inaendelea kwa michezo miwili ya maamuzi
utakuwa kati ya Bournemouth na man city katika League
1.mchezo wa mapema majira ya saa 3:36ham dimba la vitality stadium huu mchezo utaamua k**a arsenal atatangaza ubingwa siku ya leo au atasubiri mechi za mzunguko wa mwisho mechi ya leo mana city akipata tu sare au kufungwa arsenal wanakuwa mabingwa wa epl msimu wa 2025/2026 2.mechi ya pili ni Chelsea na Tottenham majira ya saa 4:15usiku dimba la Stamford Bridge hii mechi ni muhimu sana kwa Tottenham kwasababu Tottenham ana hitaji point 1 tu ili kusalia kwenye ligi kuu la England na kuepuka kucheza play off au kushuka daraja...
16/05/2026
Anaitwa Harvy Osette n kiungo mkabaji makini kutoka pale FC lupopo DRC congo
Yanga wanamtaka kwa udi na uvumba
Remember the name ๐๐
15/05/2026
Anaitwa Amine El Karma umri wa miaka 40 ni kocha wa zamani wa RS BARKANE YA MOROCCO aliwapa ubingwa wa shirikisho Africa Young Africans Sports Club wamemuongeza kwenye list ya makocha wanaotakiwa kuziba nafasi ya kocha alieondolewa klabuni hapo
Vipi wanachi anawafaa.??
14/05/2026
Kila la kheri vijana wetu wa Serengeti boys ๐น๐ฟ
14/05/2026
Ripoti zimeonyesha kuwa Saudi Derby (Al Nassr vs Al Hilal) imepiku El Clasico ya Uhispania kwa watazamaji, ikikadiriwa kuvutia watazamaji milioni 400 na maoni zaidi ya bilioni 1 kwenye mitandao ya kijamii. Mabadiliko haya yanahusishwa sana na athari na umaarufu wa Cristiano Ronaldo, ambao umeikuza ligi hiyo.Muhtasari wa Habari:Watazamaji: Takriban milioni 400 walitazama mchezo huo.Mitandao ya Kijamii: Zaidi ya maoni (views) bilioni 1.Sababu: Ushawishi mkubwa wa Cristiano Ronaldo na ukuaji wa Ligi ya Pro ya Saudi.Ulinganifu: Derby hii ya Saudi (Al Nassr dhidi ya Al Hilal) imezidi umaarufu wa mechi za jadi za El Clasico (Real Madrid dhidi ya Barcelona) hivi karibuni.Habari hii inaashiria mabadiliko makubwa katika ulimwengu wa soka, huku soka la Saudi Arabia likipata mvuto wa kimataifa.
Triple C mwamba kweli kwelii
14/05/2026
...KLABU YA YANGA SC mpaka sasa imecheza jumla ya mechi 23 na zimesalia mechi 7 pekee kabla ya Ligi haijamalizika. Michezo hiyo ni...
vs Singida BS (May 22)
vs Namungo (May 25)
vs
Mashujaa FC (June 13)
vs Fountain Gate (June 18)
vs Azam FC (June 24)
vs TRA United (June 27)
vs JKT Tanzania (June 30)
Mechi za nyumbani ni 4 dhidi ya Singida BS, Namungo, Azam FC na TRA United.
Click here to claim your Sponsored Listing.