09/03/2025
Darwin Nunez✍️
Ni mchezaji wa Team ya taifa ya Uruguayi (Uruguay) ndiye namba 9 wa timu inayoongoza ligi kuu nchini Uingereza (EPL) na jana kafunga goli lake kwenye mechi dhidi ya watakatifu Southampton
Mpk hivi sasa msimu huu kweny PREMIER LEAGUE mwamba ana goli zake tano (5) na amesaidi kwenye upatikanaji wa magoli mawili (2) (Two Assists)......