Daud Esports

Daud Esports

Share

sportman

06/05/2026

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„ : UEFA Champions League SF (AGG 5-6)

BAYERN MUNICH πŸ‡©πŸ‡ͺ 1οΈβƒ£βž–οΈ1️⃣ PARIS SAINT GERMAIN πŸ‡«πŸ‡·
⚽️ 90+4" Kane ⚽️ 03" Dembele

🚨 OFFICIAL Paris Saint Germain itacheza Fainali na Arsenal..

06/05/2026

Moja la faida kwa Mnyama…!!!

FT: Simba 1-0 JKT Tanzania

Inafuata Mtibwa Sugar vs Dodoma Jiji saa 2:30 usiku LIVE

Photos from Daud Esports's post 06/05/2026

Kwanini Yanga wamemfukuza Kocha Pedro GonΓ§alves?

Amecheza mechi 21
Amekusanya alama 51.
Amefunga mabao 47.
Amefungwa mabao 5
Hajapoteza hadi sasa.
Anaongoza Ligi!

Ni Tanzania peke Kocha mwenye takwimu k**a hizi anaweza kufukuzwa na Club.

Steve Champion

06/05/2026

TAARIFA KWA UMMA


06/05/2026

🚩 𝐇𝐀𝐋𝐅 π“πˆπŒπ„ : NBC Premier League πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

SIMBA SPORTS CLUB 0οΈβƒ£βž–οΈ0️⃣ JKT TANZANIA FC

06/05/2026

GOOOAL........Okello

65" KMC FC 0οΈβƒ£βž–οΈ1️⃣ YOUNG AFRICANS SC

06/05/2026

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 π“πˆπŒπ„ : NBC Premier League πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

KMC FC 0οΈβƒ£βž–οΈ1️⃣ YOUNG AFRICANS SC
⚽️ 65" Allan Okello

06/05/2026

Bao la alilofunga Chama dhidi ya Yanga limeendelea kupigiwa chapuo kushinda Tuzo ya Fifa ya Puskas Award!

PuskΓ‘s Award ni tuzo maalum ya soka inayotolewa kila mwaka na FIFA kwa mchezaji aliyefunga goli bora zaidi duniani katika kipindi husika.

Tuzo hii imepewa jina la Ferenc PuskΓ‘s, ambaye alikuwa mmoja wa washambuliaji bora kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya soka.

Mitandao mbalimbali ndani na nje ya Afrika imeribaki bao hilo kuwa bao bora la Dunia katika tuzo za Fifa.

Hili bao wakileweka kwenye Category ya bao bora tu hiyo Tuzo imeenda kwa Chama.

Steve Champion

06/05/2026

Kwa hiyo k**a PSG watatinga fainali Ben White akumbana na Khvicha Kvaratskhelia.

Na k**a Bayern Munich watandinga fainali basi Ben White atakabana sana na Luis DΓ­az.

Kati ya Kvaratskhelia na Diaz ni bora akutane na yupi hapa k**a ataanzishwa upande wa kulia?

Au Timber ndiyo kiboko ya wote hapo.

06/05/2026

Baada ya Pape Ousmane Sakho kuchukuwa tuzo ya bao bora la mwaka kwa Afrika (CAF) akiwa Simba SC mwaka 2022.

Huwenda sasa ikawa ni zamu ya Clatous Chama kubeba tuzo ya goli bora la mwaka duniani akiwa na Simba SC mwaka huu.!😍

Dunia nzima sasa inalizungumzia bao lake..! Na wengi wao wanasema kuwa linastahili kuingia kwenye FIFA PUSKAS AWARD.

Je, kwa mtazamo wako hili goli linastahili kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo ya bao bora la mwaka ( FIFA PUSKAS AWARD)...? πŸ€”

06/05/2026

🚨RATIBA YETU LEO VIWANJANI 06 MEI JUMATANO 2026 IKO HIVI πŸ₯° ⚽

πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 16:00 - KMC FC βš”οΈ Young Africans SC

πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 18:15 - Simba Sports Club βš”οΈ JKT Tanzania FC

🏟 22:00 - FC Bayern Munich πŸ‡©πŸ‡ͺ βš”οΈ Paris Saint Germain πŸ‡«πŸ‡·

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mwanza?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Address

157
Mwanza