02/03/2026
Kanuni ya Ligi Kuu ya Nbc kuhusu straight Red Card itamfanya Feisal Salum ๐น๐ฟ azikose mechi mbili zijazo dhidi ya Tz Prisons na Mbeya Kwanza.
K**a ataongezewa adhabu hizi ni mechi zijazo za Azam Fc
โ
Tz Prisons (Machi 5)
โ
Mbeya Kwanza (Machi 8)
โ
Dodoma Jiji (Machi 11)
โ
Young Africans (Machi 15)
โ
Mashujaa Fc (Machi 19)
02/03/2026
๐จ Mbio za ubingwa katika ligi kuu Hispania LA LIGA baada ya matokeo ya leo.Je nani kuibuka kuwa bingwa msimu huu 2025/26
02/03/2026
๐จ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Mashabiki wa REAL MADRID wanaimba na kutaka kujiuzulu kwa raisi wa klabu hio FLORENTINO PEREZ ndani ya uwanja wa BERNABEU. โช๏ธ๐ฑ
02/03/2026
Hali tete BERNABEU kwa wapenzi na mashabiki wa REAL MADRID wamepotea alama 3 nyumbani dhidi ya GETAFE FC
02/03/2026
NDANI YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE:
2016-real madrid kamtoa Manchester city
2020-manchester city kamtoa real madrid
2022-real madrid kamtoa Manchester city
2023-manchester city kamtoa real madrid
2024-real madrid kamtoa Manchester city
2025-real madrid kamtoa Manchester city
2026?
02/03/2026
๐จ๐ฎ๐น Klabu ya Manchester United imeanza kufanya mawasiliano ya awali na wawakilishi wa viungo wawili nyota, Bruno Guimarรฃes na Sandro Tonali, kwa mujibu wa taarifa ya gazeti la Hispania la michezo, Diario AS.
Chanzo hicho kinaeleza kuwa mawasiliano hayo bado ni ya kiwango cha chini (informal contact), yakilenga kupima uwezekano wa usajili siku zijazo. Hadi sasa hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa kati ya pande husika.
02/03/2026
๐จ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐: Kocha wa mipira ya adhabu (set-piece) wa Arsenal, Nico Jover, ana kipengele maalum kwenye mkataba wake kinachompa bonasi kila timu inapofunga bao kupitia set-piece.
The Athletic
02/03/2026
ANAANDIKA ALLY KAMWE.
Kwanza ilikuwa OFFSIDE.. Pili, AKASHIKA. Move ikaruhusiwa kuendelea k**a hakijatokea kitu.
Sitaki kabisa kukumbusha kuwa Mchezaji huyu alitakiwa kufungiwa MECHI 5 kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Dodoma Jiji โฆ
Sitaki kuwakumbusha, kuwa Waamuzi walishatishiwa kufungiwa Maisha kimpira na kupelekwa JELA kuhusu mechi hii
Turidi uwanjani, Watu hawa baada ya mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mchezo, wakagoma kuondoka uwanjani Usiku.. Wakafanya Ushirikina na vurugu za kila aina.. Wakaja kutolewa kwa msaada wa Polisi
Hawakumaliza, Siku ya mechi wametumia mlango wa VVIP kuingia uwanjani. Wakavunja mlango wa chumba cha Waandishi wa Habari
Muda wa Pitch Feeling, wakautumia kuzunguka uwanja na kufanya vitendo vya Kishirikina bila wasiwasi wote
Hapa Najaribu kuwaonyesha kwa uchache tu NGUVU iliyotumika hadi Makolo wamepata POINTI 1 kwenye Derby
Kimsingi, kwa mtu anayejua Mpira vizuri atakubaliana na mimi.. JANA SIMBA wamethibitisha ni WADOGO SANA KWA YANGA na watatumia miaka mingi sana kuja kushinda Derby
Nguvu yote kubwa sana Ilitumika ndani na nje ya uwanja haijaweza kufuta Uteja wao. Wana kikosi chenye wachezaji machachari na Viongozi wenye mihemko
K**a isingekuwa mambo ya kupelekana JELA, ikapigwa FAIR, Prince Dube angewaweka ile chuma ndio mngeona mengi zaidi jana..
Wanazuga Kulalamika na kutukana watu leo ili kuficha Vitu vya hovyo walivyofanya na Wameshindwa kupata Ushindi .. Hii inawauma sana
KULIWA MARA 6 Imebaki pale pale na POINTI 5 ZIMESIMAMA VILEVILE ๐๐๐๐ฝ๐๐ฝ๐๐ฝ
02/03/2026
Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
02/03/2026
๐จ ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Sheria Mpya nne zitakazotumika kombe la Dunia
1. Mchezaji akifanyiwa mabadiliko anatakiwa atumie Sekunde 10 tu awe tayari ametoka Njee akizidisha hata sekunde 1 itamalzimu Mchezaji anayeiingia Kusubiri Njee angalau dakika 1 ndio ataingia.
2. Ikiwa Mchezaji kaumia na anaitaji matibabu atatakiwa kutolewa Uwanjani kwa dakika 1 akizidisha timu yake ikapewa adhabu.
3. Ikiwa Mwamuzi ataona muda unapoteza kwenye mpira wa kona au mpira wa kurusha kwa zaidi ya Sekunde 5 Mwamuzi ataamua Timu Pinzani kupewa Faida ya kutumia Nafasi hiyo.
4. VAR Itatumika kuangalia kadi ya Njano ya Pili na Mpira wa Kona
02/03/2026
๐จ Michezo Miwili Ijayo ya Aston Villa Kutetea kubakia Top 4. ๐ซฉ
๐ Aston Villa FC โ๏ธ Chelsea FC
๐ Manchester United โ๏ธ Aston Villa FC
โ๏ธ Ikiwa Aston Villa atapoteza yote atajikuta yuko nafasi ya 6. ๐
02/03/2026
๐จ Arsenal bado wakiwa juu ya msimamo wa EPL!
Mbio za ubingwa zikiendelea na Manchester ctiy...NANI KUWA BINGWA WA EPL 2025/26?๐๐