Neo Maema msimpange Tunisia,arudishwe tu, Mpanzu na Kibu, hii iwe mechi ya kuwahukumu wabaki Simba au waondoke. Ni wachezaji muhimu ila hutuangusha sana
Simba sc- Chama kubwa Tz
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Simba sc- Chama kubwa Tz, Sports Team, Tanga.
KILA LA HERI SIMBA SC HUKO TUNISIA KATIKA MECHI YAKE NA ESPERANCE INSHALLAH,AMIINA🤲
Msiwaamini sana Jonathan sowah, Selemani Mwalimu na kijana mpya wa Niger alietoka Rwanda. Leteni streika bora zaidi inshallahu 🙏
Wachezaji Wa Simba sc kurudisha mipira nyuma sio tatizo ila isiwe mazoea wakati no magoli. Hamfoc wabeki pinzani wamiogope na wafanye makosa. Jirudini🙏
20/01/2026
Mbadala sahihi wa Kapombe ni muhimu kusajiliwa. Duchu kabebwa kwa kiwango chake awe awe msaidizi no. 3, Kapombe no. 2, aje namba moja. Namba moja kuwa na wachezaji watatu ni ukubwa wa timu na ushindani utakuwa mzuri. Wilsoni Nangu anafaa no. 2 amsaidie kapombe akichoka. Mzoesheni
17/01/2026
Udhaifu wa timu Simba sc na Uongozi kiasi cha timu kusuasua yataka kuelimishana maana kuendeleaza umoja wetu. Tuisapoti timu Simba sc kwa kili harakati zake,tusiitenge. Umoja ni nguvu. Twendeni uwanjani kwa wingi tuisapoti timu yetu Kila wakati inshallahu🙏
17/01/2026
Usajili wa wachezaji wapya wa Simba sc mpaka sasa katika dirisha la januari 2026-2027.
17/01/2026
Wadau huyu Kibu Denis naheshimu uwezo na mchango wake kwa Simba Sc. Nimetathmini mchango wake na madhaifu yake ya ndani na nje ya uwanja,nikaibuka na mawazo ya kwamba, ikitokea timu ya kumuuza nje auzwe na itakuwa heshima kwake. Sio vizuri kusajiliwa ndani ya Tanzania au kumuacha. Nimetamani hivyo tangu mwaka jana wakati wa dirisha kubwa. Tangu mwaka Jana nimetamani aondoke Simba sc kwakuwa kwa uchezaji wake sikuona k**a anastahili kubaki kutokana na madhaifu ingawa ninashukuru kwa msaada wake timuni. Twaendelea kumkumbatia kana kwamba ni mzuri sana na kumuacha ni kosa kubwa,kwa hili twakosea. Winga ya kibu ina madhaifu katika kuingiza Krosi na yeye kuingia alete madhara katika kumi na nane na penati box. Mara nyingi akikaribia maeno hayo hupoteza mipira kizembe ingawa ametumia nguvu kubwa kupandisha mashambulizi. Hii inapelekea kuvunja moyo wachezaji wenzake. Kimataifa makosa k**a hayo hufanya ila hutusahaulisha kwakuwa amekuwa akifunga. Uchezaji wa kibu ni wa tabia ya kinyonga. Anacheza atakapo,atakavvyo ila sio tutakavyo kwa wakati muafaka. Kibu ana mzimu wenye ushetani zaidi ndio maana huwa hivyo kiuchezaji. Sioni sababu yeye akae hadi amalize huo mkataba. Nitafurahi akiuzwa januari hii ili nione tutafaidika vipi bila yeye katika winga ya kulia. Kapombe ndiye aliyeitumia winga vizuri ya kulia kuliko kibu. Magoli mengi ya Simba yamepungua na yeye kachangia. Tumezoea magoli ma3,ma4 hadi ma5 na .. ila ma3 tu imekuwa bahati kufunga kwa sasa. Washambuliaji pia hawakuwa sawa maana hufunga goli mojamoja maana mawinga hawatumiki vizuri. Nashauri viongozi waachane na washambuliaji walete wapya. Mukwala,sowah. Mengine ya maono ya siri sisemi. Namlinda napenda . UZA KIBU AU TOA KWA MKOPO KATIKA KLABU YA NJE KWA FAIDA YA TIMU🙏
10/01/2026
Simba Sc Ina mfumo wake wa kiuchezaji. Makocha wapya wakija waambiwe falsafa ya timu . Makocha wengi wamefeli katika kufuata falsafa ya timu. Winga zitumike, fullback kupanda ni dharura. Simba Sc mfumo huu umefeli. Kapombe kachoka, beki Anthony mligo ni mzito wa kuingia kwenye penati box. Ashauriwe pia anatakiwa ajifunze kupitia matukio. Mfumo pia hauwabebi. Ila wanaibaiba. Mpanzu ni winga mzuri na Mukwala ila mara chache hutumia winga vizuri. Simba wambadili kwenda winga Mukwala k**a atabaki. Duchu hafiti Simba Sc. Aletwe mchezaji wa nje ashindane na kapombe awe mrithi. Wachezaji wa kujaribu no Simba Sc klabu kubwa. Wenu Mtaalamu.
Click here to claim your Sponsored Listing.