12/05/2025
๐ฐ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ฐ
๐
โฝ๏ธ Young Africans SC๐Namungo FC
๐ 13.05.2025
๐ KMC Complex
๐ 10:00 Jioni
Shabiki la Yanga
Daima mbele nyuma mwiko
12/05/2025
๐ฐ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ฐ
๐
โฝ๏ธ Young Africans SC๐Namungo FC
๐ 13.05.2025
๐ KMC Complex
๐ 10:00 Jioni
12/05/2025
Kwani hawo wanasemaj????????
Follow Shabiki la Yanga Sports site
10/05/2025
Mwanachi hawezi akapita bila kulike Japan. K**a unawajua wataje kwa majina malijendari hawa
Follow me Shabiki la Yanga
10/05/2025
โ๏ธKatika mahojiano maalum na mtangazaji maarufu Salama Jabir, Mkurugenzi wa Makampuni ya GSM, Ghalib Mohammed, ametoa kauli iliyozua mjadala mkali miongoni mwa wadau wa soka nchini. Akiwa na msimamo wa kujiamini kuhusu mwenendo wa klabu ya Yanga SC, Mohammed amesema kuwa akipewa nafasi ya kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, licha ya Kumpongeza kwa kazi nzuri ya kuliongoza taifa pia atamwambai Yanga Bingwa.
๐ฃ๏ธ"Nitamwambia Mama, Yanga Bingwa." Amesema GSM
โ๏ธKauli hiyo imeibua hisia tofauti hasa kutokana na ushindani mkali uliopo katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu. Hadi sasa, Yanga SC inaongoza ligi ikiwa na tofauti ya alama nne dhidi ya mpinzani wake wa jadi, Simba SC, ambaye ana mchezo mmoja mkononi.
โ๏ธWakati mashabiki wa Yanga wakitafsiri kauli hiyo k**a ishara ya imani thabiti ya mafanikio msimu huu, baadhi ya wadau wa soka wameiona k**a kauli yenye presha inayoweza kuongeza mvutano wa ushindani katika mechi zilizobaki.
โ๏ธLigi bado inaendelea, na timu zote zinapambana vikali kuhakikisha zinapata matokeo mazuri kuelekea kumaliza msimu. Je, Yanga itaweza kutimiza ndoto za mashabiki wake na kuthibitisha kauli ya GSM Licha ya kuwa na sintofahamu ya hatima ya mchezo wa derby โ๏ธ
09/05/2025
Miaka 8 ya Mdhamini Mkuu wa Klabu yetu Sportpesa Tanzania๐น๐ฟ
09/05/2025
mwanayanga hawezi pita post hii wape likes zakutosha taja majina yao halafu toka nduki.
09/03/2025
Mbuzii Fc hahaha ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
05/02/2025
FT YANGA 6-1 Ken Gold
Hiki nikipigo cha mbwa mwitu yaan kiufupi ken Gold wameutaka wenyewe.
Follow Shabiki la Yanga
05/02/2025
Ukisikia mtoto kautaka ndio hii sasa ndio kwanza kipindi cha kwanz mtu kala nne kavu ๐
๐
๐
๐
Follow ShabShabiki la Yanga
05/02/2025
Kikosi cha Yanga kinacho anza leo dhidi ya Ken Gold
Follow Shabiki la Yanga